2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Wenyeji Cameroon

9F1D4364-68E1-48E6-B8E9-02523FA63CDA.jpeg
 
Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 10 hatutimuona kocha Herve Renard katika michuano hii, ikumbukwe kocha huyu ndio kocha pekee kutwaa taji hilo mara mbili akiwa na timu tofauti (Zambia & Ivory Coast)

View attachment 2074591
Jamaa alikua anataka kufanania na haya mashindano
Alipapenda africa alioa kbs
 
Back
Top Bottom