Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Cameroon wanafunga goli la 3Tanescooooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cameroon wanafunga goli la 3Tanescooooooo
HuoooooooooTanescooooooo
Huenda hizi mechi za pili na kuendelea kukawa na bao za kutosha kama game zitakuwa za kushambuliana namna hii.83' CMR 4-1 ETH
Huyu mzambia leo kaborongaView attachment 2078749
Ni matumaini yetu magoli yajeHuenda hizi mechi za pili na kuendelea kukawa na bao za kutosha kama game zitakuwa za kushambuliana namna hii.
Ilikuwaje kamanda? Nani kabebwa?
Ilikuwaje kamanda FORT? Mwisho ilikata networkRefa wa jana alivyochemsha
Refa alimaliza mpira dk ya 89Ilikuwaje kamanda FORT? Mwisho ilikata network
Hutaki kakata tamaa. 😀😀Usidhani timu za North mashabiki wake ni waarabu tu 😃, refer comments za humu utaona timu zao zinapendwa
Mimi ni shabiki mkubwa wa Algeria kamanda, yani hapo huniambii kitu......i wish Algeria abebe, kama si yeye basi Morocco
Alafu huu ni mwanzo tu, ngoja kwenye Quarter final or Semi final ndiyo utaelewa
Ujue hadi nilimuonea huruma. Sa sijui ni saa ilimdanganya?Refa alimaliza mpira dk ya 89