Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabsa mkuu, AFCON ya kwetu mwaka huuNigeria kombe letu
Hata hivyo Algeria wanacheza chini ya kiwango hasa viungo wao la 3 hilo waooooooIvory Coast are on fire
Wapigweeee tu😂Hata hivyo Algeria wanacheza chini ya kiwango hasa viungo wao la 3 hilo waoooooo
Hahaha zote mbili za kwakoTimu yangu ni Ivory Coast ila wakitolewaga huwa nabakia Algeria
Zao la Arsenal hilo tunanufaika nalo Ivory Coast what a coincidence!Pepe anafunga goli la 3
Kule anakaa mkeka lakiniZao la Arsenal hilo tunanufaika nalo Ivory Coast what a coincidence!
Sasa mkuu kama hawana uwezo wabebwe?Kuna vitu vinakera sana badala ya kutolewa senegal na misri wanaenda kutolewa algeria