2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Round of 16

16C86759-6FF0-402A-907E-F487821AEFA9.jpeg
 
Hivi AFCON kuna VAR ya nini, mbona hawaoni kabisa hizi janja janja za waarabu kujiangusha...

Penati ya Algeria ya mchongo, freekick muda si mrefu mchongo

Hakuna kujiangusha haya ni maneno ya kwenye kahawa 2shayazoea kitambo kwa wasiyojua mpira mzehe, 2acheni porojo na malalamiko wajomba, kujiangusha cyo sababu ya kupata ushindi bwana, wengine majeruhi yameewaandama, so wakiangushwa mnadai wanajiangusha 😆😆😆 kwa ufupi soka la kaskazini ni high level mzehe, wame2acha mbali mno, sema dic time hawakua vizuli. Ivyo 2kubari 2katae washikaji wame2acha mbali.


Utakuwa umenierewa kijana.
 
Back
Top Bottom