Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #1,881
Mechi za Leo:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah r.i.p n pole kwa wagonjwaaMashabiki walivamia uwanja kutaka kuingia kwa nguvu , inasemekana watu 6 wamepoteza maisha na zaidi ya 40 ni majeruhi
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Anastahili ukiongezea na mgoli ule wa kiulaya ulaya! Au zingetoka mbili kbs na yule kipa apate yake😂😂
Alikua hatak mpira umguse mkononi anaogopa penat 😆😆😆😆
wanaleta fitna sanaWamekukosea nini kamanda wangu?
Hahah
Hiyu Mwamba nimemuelewa sana jana
Cameroon itatolewa kwa aibu sana, ni wepesi sana wale, hakuna team pale.Kifupi mashindano wameya NAJSI name ili yatwaharike inabidi robo fainali Cameroon atoke kibaya zaidi caf wamehusika kuhalalishwa upuuzi huu ina maana etoo nae kashiriki kwenye ubakwaji wa matokeo haya huu ni UPUUZI
Yes, that man did a great jobNaona wachambuzi wa DSTV wanampongeza sana Keeper wa Comoro
🤣🤣🤣🤣🤣Alikua hatak mpira umguse mkononi anaogopa penat 😆😆😆😆
Kamwe mitaa haitaisahau Comoros
Wenyeji jana wamebebwa Mkuu, mambo ya aibu sana, mambo kama sidhani kama yatakuja kuisha, yanatia hasira sanaHii game ilinipita kamanda, nasikia malalamiko ya wenyeji kubebwa.....dahh kama ni hivyo basi tutegemee red card nyingi kwa wapinzani wao
Wenyeji jana wamebebwa Mkuu, mambo ya aibu sana, mambo kama sidhani kama yatakuja kuisha, yanatia hasira sana