Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Tunisia walimuotea tu Nigeria.
Kumbuka kwenye group walichezea Match 2 wakapita kama Best Loser
Tunisia miaka ya nyuma walisumbua mno, kwa sasa sio tishio kivile, ebu fikiria kaBukina kanamtoa tunisia 🤣