2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Mimi sijaelewa mbona jana Misri wamefanya sub wachezaji sita badala ya watano?
 
Nilichogundua misri sio wa kwenda nao matuta, watakutoa mchana kweupeeeeeeeeee
 
Mashindano yametwaharika (yamekuwa masafi )baada ya waliyo yanajisi kutolewa katika nusu fainali ile figisu waliyo fanyiwa wapemba (commoro )siwezi kuifuta katika kumbukumbu zangu za soka.
 
Mechi ya leo:

Kutafuta mshindi wa tatu

09E1C4F2-AAF3-4BB0-BD37-E264C5EC47B6.jpeg
 
Back
Top Bottom