2021 Marcedes Benz S-Class; Mjerumani ametisha hapa

2021 Marcedes Benz S-Class; Mjerumani ametisha hapa

Hata Toyota za sasa ni sawa na haohao wa Europe.

Realibility imepungua sana.

Umeme mwingi na sensors kila sehemu.

Nunua Harrier ya mwaka huu uone kama utatengeneza kwa fundi wa chini ya muembe.

Still bado Toyota/Lexus za 2020 ni less complicated(ingawa mafundi uchwara wa huku mtaa hawataziweza) kulinganisha na Germany machines za 2020 na reliability yake Toyota bado ni on par kulinganisha na bimmer/mercedes/audi/vw.

Nenda kacheki kwny Reliability Index utajionea.
 
Thread bila picha inakosa mvuto sana na ukizingatia mtoa mada aliwahi kudai kuwa hapendi sedan.
Ndio sipendi sedan na sijawahi fikiria kununua sedan.

Ila hii tech iliotumika nimeikubali, nimeifurahia na nimewasifu wajerumani kwa haya matusi mazito walioyafanya.

Naamini wanaopenda sedan watakuja kununua huu mzigo.
 
Ndio sipendi sedan na sijawahi fikiria kununua sedan.

Ila hii tech iliotumika nimeikubali, nimeifurahia na nimewasifu wajerumani kwa haya matusi mazito walioyafanya.

Naamini wanaopenda sedan watakuja kununua huu mzigo.
Nimeiona kwenye insta page ya #newotomobil, aisee ndani ya kile chuma ni mukali sana.
 
mzungu anajua aiseee kutangaza kitu chake mpaka unataka ukinunue daaa hawa jamaa saa nyingine unawaza kama sio viumbe wa sayari hii kabisa kwa jinsi wanavyofanya vitu vyao
sisi huku na mbuga zetu na mali asili kibao hatujui hata tuanzie wapi
 
mzungu anajua aiseee kutangaza kitu chake mpaka unataka ukinunue daaa hawa jamaa saa nyingine unawaza kama sio viumbe wa sayari hii kabisa kwa jinsi wanavyofanya vitu vyao
sisi huku na mbuga zetu na mali asili kibao hatujui hata tuanzie wapi
Mkajifunze kwao na sio kuwaona mabeberu wanyonyaji.
 
Unajua watu wengi tunapenda kutishika na hizi gari za mjerumani nenda juu nenda chini hakuna nchi ya kumtoa mjapan kwenye soko la magari nao hawa wajeruman wakitengeneza gari zao ni lazima wa linganishe na machine za kijapan hizi gari zako za mjerumani zikipambana na battle ya kimazingira na mzee Toyota utajua kumbe Japan ni gari za hovyo kabisa huku kwetu kama unazijua machine huwezi bishana na hii kitu.
Hahahaha!!!
Upo sahihi Mkuu kama Toyota hata Mtoto wa darasa la saba anatengeneza na gari inarudi Kwenye Hali yake
 
Back
Top Bottom