2021 ni fireee





Hivi hii ni kweli jamani[emoji30][emoji30] niweke???[emoji87][emoji87][emoji23][emoji23]
 
Huyu ni pisi kama pisi dah, mnaoliwa kwnye mkeka mnafeli wap? Ngoja nizoe kwanza humu halfu ntakuja unifundish namna ya kucheza.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee nimekupenda bure. Napenda wanawake watundu. Hiwa napenda mwanamke anayejaribu kila kitu. Hongera sana umevuka hatua mona zaidi yangu. Napensa sana mpira ila kubet nilikataa. Addiction yake[emoji119][emoji119] Arsenal kukuchania mkeka dk 0 tuu[emoji28][emoji28]
All the bests. Weekend nitakupa odds[emoji28][emoji28] halaf vile vitim vya ovyo kwenye ligi za ovyo ndo kuna pesa balaaa
 
Huyu ni pisi kama pisi dah, mnaoliwa kwnye mkeka mnafeli wap? Ngoja nizoe kwanza humu halfu ntakuja unifundish namna ya kucheza.

Mpaka sasa Liverpool imefungwa[emoji2955][emoji2955] 1:0 na Ndio nilikua naitegemea
 

Hahahahaha ila zinaboa sana kama hapa hadi usingizi sina zote nilizochagua zimefungwa kasoro moja tu ndio imeshinda na nyingine ni droo

Nimechukia[emoji19][emoji19][emoji853]
 
Hahahahaha ila zinaboa sana kama hapa hadi usingizi sina zote nilizochagua zimefungwa kasoro moja tu ndio imeshinda na nyingine ni droo

Nimechukia[emoji19][emoji19][emoji853]
Ha ha ha si hii ya southamton na liver? Hata usikate tamaa. Bado dk nyingi sana kwa mpira. Ila soton huwa wazuri sana hasa wakiwa nyumbani
 
Ha ha ha si hii ya southamton na liver? Hata usikate tamaa. Bado dk nyingi sana kwa mpira. Ila soton huwa wazuri sana hasa wakiwa nyumbani

Nimepata 0[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hiyo 10,000 uliyopata nunua matunda utengeneze juice, au nunua bia unywe.

Ukijaribu tu kuendelea, utaikumbuka hii post.
Mtani umefanya nimkumbuke Pacha Joanah. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ulishawahi kumpa aka kaujumbe mana niliwahi ona sehemu kuna mtu kaandika naye wamo hizi pande za kubet. Teh

Toooba. (Sina hakika kama alikuwa anamtania ama la)πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 

Siyo kazi za kike hizi na hazifai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…