2024 Kilimo kimewatoa Wachina Milioni 33 Kwenye Ufukara.Tukiuliza SGR imeondoa Watu Wangapi kwenye Umaskini Majibu ni matusi.Tuna shida ya Vipaombele

2024 Kilimo kimewatoa Wachina Milioni 33 Kwenye Ufukara.Tukiuliza SGR imeondoa Watu Wangapi kwenye Umaskini Majibu ni matusi.Tuna shida ya Vipaombele

Kwa hiyo China wanasafirisha mazao yao juu ya punda.
Walianza na miundombinu inayohitajika kusafirishia mazao Yao ndio kabla ya kujenga miundombinu ya maonesho.

Wewe umeanza na miundombinu ya maonesho ukaacha miundombinu ya wakulima.
 
Kila kilichoanzishwa na magufuli huyo punga lazima apinge
Napinga Kwa hoja.

Wewe Kwa akili zako za kindezi ni sawa kumwaga Trilioni 33 Kwenye Sgr ukaacha kutumia hizo hela kujenga km 25,000 za Barabara?

Kwamba wewe punguani una akili zipi kuwazidi Wazungu ambao walisubiria mambo ya msingi ndio waje kujenga Sgr?
 
Back
Top Bottom