2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Mara yangu ya mwisho Kumpenda Mwanamke kidhati ilikuwa ni mwaka 2010 na kuanzia hapo nawapenda Kinafiki tu ili Wanivulie Vyupi vyao na Niwabandue.

Na kamwe GENTAMYCINE sitokuja Kumpenda Mwanamke yoyote yule Kimahusiano hata kama akiwa ni Mrembo kuliko Queen Marie Antoinette Mke wa aliyekuwa Mfalme King Louis XVI aliyesababisha kutokea Mapinduzi na Machafuko makubwa ya nchini Ufaransa ya 1789 yaliyomweka Madarakani Mshindi na Baba wa Mapinduzi ya Ufaransa Emperor Napoleon Bonapatre.
 
Yaani naona shida kumpa hela demu ambaye si wangu na sielewi kwanini mwanamme umpe hela mwanamke kwani huku ni kumpunguzia mzazi wake (baba) mzigo wa kumtunza yeye wakati si jukumu lako la kumtunza huyo mwanamke. Hii ni dhambi kubw sana kumtunza mwanamke ambaye si wako, wacha wazazi wake wamtunze.
 
Mtoa mada ni mpumbavu mnataka wanawake wachapakazi, mkiwapata mnaenda kuchepuka na hao hao kausha damu kisa wanajua kukata viuno kuliko hao wachapakazi, karne hii sishauri mwanamke yeyote amuonee huruma mwanaume fukara kwenye mapenzi maana hamna shukrani muendelee kutapeliwa hivyo hivyo majnuni wakubwa nyie
 
Tangu umepigwa Ban jukwaa la michezo siku hizi kila Jukwaa unachangia na bado utachangia hadi Jukwaa la mapishi mwaka huu.
 
Yani hapo alikua anakuwekea mazingira akuingize kingi akakumue wallet naona anko ukala ganzi full nati na spanner umepoteza HaHaHaHa
Mjini lazima uwe na mbinu za kuwaepuka hawa viumbe, siku hiyo nilicheka sana kwakweli.
Aliniona nilivyokuwa napendeza siku nilizoonana nilikuwa nmeshave fresh na nilivyomwambia nafanya kaz basi ndio akajua kashaniokota.
 
Kwani Dada zenu wadogo zenu wakike shangazi zenu, wenyewe hudangiaga wapi! Unapomuona mwanamke huyu kausha damu na Dada zenu huko wanaitwa kausha damu na maji, na maranyingi wanyanyasaji wa wanawake na ndugu zao wakike nawao hunyanyaswa vivyo hivyo
Kila mtu yuko included hata dada zetu, kama ni viwavi lazima wasemwe.

Ni kweli wanawake wa sasa wamekuwa ombaomba sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…