2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Huyu huyu utakuta kwa mwanaume mwingine anakua mtiifu ushirikiano anatoa vizuri. Kuna wadada kama hujamvutia yaan unaweza dhania mna ugomvi hayo majibu atakayokupa. [emoji23][emoji23][emoji23] Pole
Leo nimekutana nae kaniuliza mbona sijamtafuta 😅
Ila ashanitoka anaongea sana. Kwanza nimejiunga nofapp ngoja mwaka uishe bila bila
 
Malezi na makuzi yanachangia hali hiyo pia, kuna watu hawana ustaarabu hata wa kufake kwa muda.
 
Mpumbavu wewe na mama yako
 
Mpumbavu wewe na mama yako
Kati ya mama yangu na mama yako aliyezaa fungu la kukosa kama wewe ni nani mpumbavu, ninyi wenyewe masikini wa kutupa ila kutwa kuwasema wanawake masikini kana kwamba ninyi mna hela, na huo ndio ukweli mchungu tafuteni hela karne hii hakuna kupendwa wala kuonewa huruma majnuni nyie
 
Hii inatokea kama una helaa na mwanamke anakuzungusha kuvua Kyupi...!!
 
We utakuwa Mwanaume wa Arusha tu
 
100% perfect
 
Alikuona wewe ni Msaidizi wa Makonda au Makamba hivyo akaamini wewe ni Mlamba Asali pesa ipo.

Alianza na Dau la 1M au alikuwa anatania?
 
Wa dizaini hii wanauza hadi Tigo sababu ya Pesa.

Ni watu wavivu na hwajui hata pesa inapatikana vipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…