Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Unawatukana watu kisa pesa zao wanazotafuta kwa Jasho lao?Nilichogundua huu uzi umejaa wanaume wanaonuka umaskini, Siku zote maskini wanakuaga very bitter, narcissistic, sadist wakizidisha wanakua wachawi mfyuuu. Umaskini mbaya sanaa.
Hii inaitwa kila mtu atavuna alichopanda......kama ni Mdogo wangu nayw atavuna kadri alivyopanda.......kila mtu atapata mavuno tu.Uzuri hao mademu pia kuna dada zenu, wadogo zenu, mabinamu na watoto wenu. So; karma has no menu, you get served what you deserve
Kuna uzi wangu humu wa Mwaka 2019.Nilishawahi kumpiga chini demu mmoja hivi kausha damu. Anakuja geto anakaa mpaka siku 3 achangii chochote. Anakula bure, anatumia umeme bure, maji bure, shughuli ya kitandani kwa 98% naifanya mimi cha kushangaza anataka niwe nampa hela wakati kimsingi yeye ndie anatakiwa kunipa hela mimi kwa sababu ndie anaenufaika zaidi. Nikampiga chini.
Vijana wanapigwa sana mpaka wamekuqa watumwa wa Ngono.Mdau ana hoja nzito maana siku hizi ni mwrndo wa kutaiminiana.
Ukweli ni kwamba wanaume tumefeli kucontrol mchezo, kwa kuruhusu zoezi linaloendeshwa kwa mafuta ya hisia(emotion) kuliendesha kwa mafuta ya vitu(materials)
sasa wanawake wamekosa pa kuwekeza hisia wanafanya kibiashara. Wasikose vyote!
Tukubaliane mwanaume lazima materially uwajibike kwa mwanamke
Hoja ibaki katika :
Kwa nani!
Kivipi!
Kiasi vs uwezo!
Sabab!
Kwanini!
...LOVE RESPONSIBLY
Acha bhana[emoji847]Mtoa mada ni mpumbavu mnataka wanawake wachapakazi, mkiwapata mnaenda kuchepuka na hao hao kausha damu kisa wanajua kukata viuno kuliko hao wachapakazi, karne hii sishauri mwanamke yeyote amuonee huruma mwanaume fukara kwenye mapenzi maana hamna shukrani muendelee kutapeliwa hivyo hivyo majnuni wakubwa nyie
2024 ikianza utakua mwalimu wangu ,ngoja nimalizie kwanza 2023 hiz sku 5 kwanza.Maisha yapo hivi usimuumize MTU na usikubali MTU akuumize ikiwa utaona there's a such kind of a woman anahitaji kukuchota akili na PESA achana naye mapema usimpe tatizo na wewe usikubali akupe tatizo .
Na mwisho Kama kijana embrace the cleanest lifestyle/ kumbatia maisha Sana ya usafi hautojuta.
Personally Mimi huwa sitafuti mwanamke wa kuwa naye katika mahusiano ila huwa naishi mtindo wangu wa maisha ambao upo positive Kwa kila kitu. Ikiwa mwanamke atayapenda maisha yangu atakalibishwa na kupewa sheria zote.
Sex is overrated
Kikubwa umaskini unaanziaga kichwani na unaishiaga kwenye kukwepa uwajibikaji. Sasa kama mtu mzima unakwepa kuwa responsible na maisha yako unataka vya dezo tu you must be the real problem. Mwanaume akubebee mizigo yako kama naniNilichogundua huu uzi umejaa wanaume wanaonuka umaskini, Siku zote maskini wanakuaga very bitter, narcissistic, sadist wakizidisha wanakua wachawi mfyuuu. Umaskini mbaya sanaa.
Umemjibu vizuri sana huyo ombaombaKikubwa umaskini unaanziaga kichwani na unaishiaga kwenye kukwepa uwajibikaji. Sasa kama mtu mzima unakwepa kuwa responsible na maisha yako unataka vya dezo tu you must be the real problem. Mwanaume akubebee mizigo yako kama nani
Huu ni mtego hakuna mshamba, wanaume msije mkanaswa hapa, hii ni mbinu yao nyingine wanayotaka kujanayo 2024,Ujue nyie mnakosea sana
Hamjui timing kabisa
Mmekaa kizembe sana’ nyie wakuwaita madem ghetto.
Kahudumie, kalaghai mpk kaombe kuja kenyewe.. ukikalazimishia kuifata ghetto kanakuona pussy hunter’ wachache sana watakaokubali kuja, wengi ndio hao wanakwepa.
UsilieHuu ni mtego hakuna mshamba, wanaume msije mkanaswa hapa, hii ni mbinu yao nyingine wanayotaka kujanayo 2024,
Kumuhudumia mwanamke na kumlaghai ili aje gheto mwenyewe hakuna tofauti na kutuma nauli pamoja na yakutolea.
Wanaume mpuuzen depal na ushauri wake mtakuja kuumia sana.
Kama anataka huduma, hela aje afate gheto hataki piga chini wanawake wapo wengi sana
Wanawake ni kuishi nao kitaliban taliban tuu....wee wakandamize tuu wala usione huruma...yaani kandamiza kweli kweli mwanawane maana wao hawanaga chembe ya huruma kwa mwanaumeHapo utaitwa marioo, utaambiwa mwanaume dhaifu unakwepa majukumu n.k.. wanawake wanataka usawa lakini hawataki kubeba wajibu unaotokana na huo usawa.
Pesa zipi hizoo kwa mfano? vi elfu 10 vya mawazo,shenzy kabsa mwanaume mwenye pesa huezi kuta kwenye uzi kama huu akikaza fuvu nye nye nyee,sana sana ni wale wanaosikilizia michongo vijiweni vibarua,au wale wajobless ndo wapo humu wanatokwa mapovu na matusi juu.Narudia tena umaskini mbaya na ni roho mbayaaa.Nashukuru Mungu kwa kunitoa kwenye hilo janga sitegemei pesa za mawazo kuishi najitosheleza haswaaa.Vipi umeshapata Chai au nikutumie?Unawatukana watu kisa pesa zao wanazotafuta kwa Jasho lao?
Una shida mahala wewe
Demu mwenye msambwanda kuwa mvivuu inakeraa maraa 1000 bora asiwe nalo tyu.. Unakutaa limejilaza hapo pembenii kama linguruwe poroii.Kuna uzi wangu humu wa Mwaka 2019.
Demu namsafirisha anavuka mikoa mitatu kuja nilipo. Na hatujaonana zaidi ya Mwaka na anadai ananipenda sana.
Ila Gemu yake ni ya kizembe sijawahi ona Gogo kama lile.
Nikipiga bao moja tu anadai amechoka.
Hapo nimetumia gharama kibao.
Na anataka nimhudumie kama Mke.
Mayoooo!!!! Sikumwambia ila vitendo vyangu mpaka alikonda.
Nilimchana nikamwambia hajielewi na siko tayari kuhudumia mtu mbinafsi........hatujaonana More than 1yr unakuha na Game dhaifu kiasi kile?
Alikuwa na Msambwansa alidhani nitampigia magoti
Umeona wapi nataka hizo chenchi zenu za karanga? Shenzy kabsa wewe mi nimejitosheleza sitegemei pesa za maskini nyie, ili niishi Na gemu halijawahi kuwa gumu kwangu abadani toka nimezaliwa,acheni kutafuta huruma "umaskini" ni roho kamili .Tafuteni hela acheni kulalama.Na mkome kuwasimanga wanawake.Muwe mna date size zenu mnazoweza kumudu.Pisi Kali Simu Kali Njaa Kali
Kweli Game Gumu, Povu La Litre 20 hilo.
Ishi na Vyako Dada
Case Closed [emoji38][emoji38][emoji38]
Nakubaliana na vyote ila sio kupiga mimba na kuingia mitini! Hakuna kitu kibaya kama kuitekeleza damu yako tena kwa makusudi! Itakutafuna sana!!Najua kuna wadangaji, washamba wa mapenzi na waliolishwa limbwata watakuja kutapika hapa, wapuuzeni hao. Kijana mwenzangu 2024 binti wa mtu akikuletea pigo za kausha damu piga mimba ingia mitini.
FactWanaume walio wengi wanaingia gharama kuwafanyia wema wanawake kwa kuongozwa na huruma ya kuwaona wanawake ni innocent and honest creatures au kujitengenezea mazingira ya kupewa mbususu.
Sikilizeni vijana, wanawake wa sasa almost wote ni mataperi, shida wanazoombea msaada wa kifedha ni uongo. Ukiombwa hela kwa ajiri ya luku, kwenda hospitali, n.k jua ni uongo na iyo text ya kuombwa hela hautumiwi peke yako, text iyo iyo moja mnatumiwa sio chini ya wanaume 20 na wanaume watakaofanya muhamala basi wanawake wanaona mafala na kuwadhiaki sana uko kwenye story zao saluni na magetoni kwao.
2024 ukimtongoza demu akichomoa move on, don't keep friendly zone she will use you as a leverage for her financial needs. Kijana mwenzangu, 2024 date na mwanamke mwenye kazi halali inayomuingizia kipato ila hawa wanaamini kutoa mbususu pekee ndio uhalali wa kukubebesha shida zake piga hit and run. 2024 say no to "relationship kausha damu"
Washkaji zako wa kiume wakikwama hata kwa mambo yasiyo na lazima kama mfuko upo vizuri walinde maana na wewe siku ukikwama watukulinda ila wanawake hapana maana wanawake hawana msaada wowote mwanaume ukifulia.
Najua kuna wadangaji, washamba wa mapenzi na waliolishwa limbwata watakuja kutapika hapa, wapuuzeni hao. Kijana mwenzangu 2024 binti wa mtu akikuletea pigo za kausha damu piga mimba ingia mitini.
Alikuwa siriazi nilishangaa kweli, alitaka 1m cash nikajiuliza maswali mengi ambayo majibu sina yakwamba alinionaje financiallyAlikuona wewe ni Msaidizi wa Makonda au Makamba hivyo akaamini wewe ni Mlamba Asali pesa ipo.
Alianza na Dau la 1M au alikuwa anatania?