Kazi za ndani ambazo ni zetu ni kubanduana tu.Sasa mbona na kazi za ndani hamsemi ni zetu
House girl kazi yake ni nini?Lakini ukiambiwa nawe ingia jikoni kupika na kuosha vyombo unaona umetukanwa
Kuna mmoja nilimpa 100k Juzi, jana ananiambia dada ake aliomba 25k so akampa, bila haya akanambia kwa lugha ya wizi nanukuu "mpnz wangu kwa hiyo nakudai 25k yangu niliyompa dada"Katika watu pesa zao zina macho ni wanawake, kwanza ni wabahili halafu wana hesabu kali sana, mtu ana pesa mkononi hivi sasa imepangiwa mipango miezi sita ijayo. Halafu kutoa pesa zao huwa inawauma sana. Lakini tuishi nao. Mwanamke anaweza kuwa na milioni anatamani elfu tano yako.
Mimi nataka mwanamke goal keeper ila asiwe amenipendea hela Abby UladuTujitahidi kutafuta vyakwetu umalaya sio ishu sikuhiz...hata ukiolewa mwanaume anataka mwanamke mpambanaji...hakuna mwanaume anataka mke goal kipper
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Astaghafirulahi.!Kuna mmoja nilimpa 100k Juzi, jana ananiambia dada ake aliomba 25k so akampa, bila haya akanambia kwa lugha ya wizi nanukuu "mpnz wangu kwa hiyo nakudai 25k yangu niliyompa dada"
Mwanamke kama umemchukua kwao unaishi akiwa mama wa nyumbani ni sawa unawajibika kumtunza maana uyo ni mke wako. Shida hawa kausha damu unakuta anakaa kwao ila anataka umhudumie wakati huo ni wajibu wa wazazi wake. Mwingine kapanga anataka umlipie kodi sasa kwanini aondoke nyumbani kwao wakati hana uwezo wa kumudu kulipa kodi. Kumuhudumia mwanamke sio tatizo ikiwa ni mkeo unaeishi nae tatizo la kausha damu wakisikia kuhudumiwa na mwanaume basi ndio wanajua gharama za vikoba na tamaa za kuvukuzana na fashion za nguo na versions za iphone zinatakiwa kubebwa na mwanaume.Mimi nataka mwanamke goal keeper ila asiwe amenipendea hela Abby Uladu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu tuanze na Huyu kufunga nae mwak.[emoji850][emoji850][emoji16]View attachment 2848774
Muombe na YY 0713 hakuna namna kiongoziKuna mmoja nilimpa 100k Juzi, jana ananiambia dada ake aliomba 25k so akampa, bila haya akanambia kwa lugha ya wizi nanukuu "mpnz wangu kwa hiyo nakudai 25k yangu niliyompa dada"
Af mtu kama huyo nina uwakika hata hiyo pesa hana! Mtu anayetafuta pesa na kuzipata hawezi andika huo upuuzi!Akili za kimatako hizi ndizo zimefanya kumekuwa na ongezeko kubwa la wadangaji sababu kuna watu kama wewe mada serious kama hizi kazi yenu ni kuleta mizaha na kuona hakuna tatizo.
Wewe kama unahela sana kasaidie yatima, na usilete story za kuwa tusikupangie matumizi ya pesa zako sababu wewe pia umekuja kutupangia matumizi ya pesa zetu.
Acha ufala.
Wanawake ni selfish sana wanafurahia kutumbua pesa za wanaume ila zao wanatumia kwa hesabu kali sana! Kuna limoja nilichukua no ilikuwa alhamis hivi, then jmos tukameet kwanza intro kaja kabebana rafiki yake nikamuuliza vipi huyu kaja kufanya nini akaanza kujitetea na blaa blaa nyingi nikaona sio kesi! Tukakaa me nikaagiza guiness smooth wao wakaagiza image na mbuzi vipande viwili me nawachora tuβ¦.Sasa kuna siku natoka job akaniambia nimpitie sokoni bila hiyana nkaenda,, kilichonifungua macho ni kwamba alikuwa kaandika kwenye daftari mahitaji na bei. Kama bei aliyoandika kwenye daftari imepishana hata shillingi mia moja na bei anayoambiwa anakwenda pengine! Kile kitu kilinifunza sana nikaona madem hela zao wanazitumia kwa discipline sana ila zetu wanatumbua kama vile tunapewa bure! Nilijifanya nimepata sim ya emergency nikasepa na no nikafuta!Kuna mmoja nilimpa 100k Juzi, jana ananiambia dada ake aliomba 25k so akampa, bila haya akanambia kwa lugha ya wizi nanukuu "mpnz wangu kwa hiyo nakudai 25k yangu niliyompa dada"
House GirlVipi na majukumu ya kazi za nyumbani kupika, kuosha vyombo, kulea, kusafisha nyumba, nk huwa ni wajibu wa nani
Akiomba hela muombe ****Kama Dar ni hatari wanawake wame kua omba omba sana hali ni mbaya ,tena saiv hawaoni ata aibu
Ishu sio kuwapa hela ishu ni kuwakumbusha kuwajibika. Yaani mwanamke anunue ist halafu hela ya mafuta anaomba huo ni upambavu ambao hautakiwi kuungwa mkonoTafuta pesa na date na wanawake under your level hautakuja juta. Kama wewe ni mhamga wa basic salary ya laki na nusu at least date na muuza mchicha inside beseni hautojuta maana akifilulia sana sana atakuomba capital ya 20000 thousand. Sasa wewe ni mlinzi unataka date na Malaya anamiliki ki ist akikuomba hela ya full tank ndo bajet yako ya kula mwezi mzima.lazma uone Hawa viumbe ni paapaa nyangumi wa Roma kuruhusu ushogalization
Kauli za wanaume wajingaTafuta pesa na date na wanawake under your level hautakuja juta. Kama wewe ni mhamga wa basic salary ya laki na nusu at least date na muuza mchicha inside beseni hautojuta maana akifilulia sana sana atakuomba capital ya 20000 thousand. Sasa wewe ni mlinzi unataka date na Malaya anamiliki ki ist akikuomba hela ya full tank ndo bajet yako ya kula mwezi mzima.lazma uone Hawa viumbe ni paapaa nyangumi wa Roma kuruhusu ushogalization
Sasa mbona wakifanya mahousegirl mnalalamika kwamba wake zenu wamejisahau hawafanyi tena kazi za nyumbani ipasavyoHouse girl kazi yake ni nini?
Elewa mada kwanza hakuna sehemu inazungumzia mke au mumeNa kazi za mume ni zipi sasa ikiwa mnataka wanawake wawasaidie majukumu yenu