2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Umeongea la maana sana ni kweli wanaume tunalinga sana tukipendwa na mademu wa kawaida
 

That's right mkuu. Wapo.

-Kaveli-
 
Nime screenshot kwa matumizi ya badae
 

Yani hapo alikua anakuwekea mazingira akuingize kingi akakumue wallet naona anko ukala ganzi full nati na spanner umepoteza HaHaHaHa
 
Umeongea kwa uchungu Sana kama hizo Pesa huwa unatoa wewe

Inakuuma nin?

Kila shetani na mbuya wake

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Wapi ulishaona inatolewa reciept kabla ya kutoa hela?
 
Kaka wanawake ndivyo walivyo, na hata ukimpa hizo pesa akija mwenye nyingi zaidi anahamia huko na kukuacha, akija high value male anakucha wewe, wangapi tumesikia wamesomesha wachumba wakaachwa kwenye mataa.

Kuhusu ubahili ni kweli, pesa zao zina macho sana, huwa wanaamini pesa ya mwanaume ndio ya kutumbuliwa ya kwao si ya kuliwa, hata awe anakuzidi mshahara.
 
Matapeli wataungana na kusema hii ni chai.
 
Mwanamke akikuelewa hasumbui kabisa na kama unajua kum tame kama yuko karibu within 3 days lazma uwe ushamgonga. Akiwa nje ya mkoa atakufata tu.

Anaondoa password zote yani, ukiona mwanamke ni mtu wa kukuzungusha ilihali ushaonesha interest kwake ujue tu ni kwamba hakupendi wala hana hisia na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…