2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Pesa zipi hizoo kwa mfano? vi elfu 10 vya mawazo,shenzy kabsa mwanaume mwenye pesa huezi kuta kwenye uzi kama huu akikaza fuvu nye nye nyee,sana sana ni wale wanaosikilizia michongo vijiweni vibarua,au wale wajobless ndo wapo humu wanatokwa mapovu na matusi juu.Narudia tena umaskini mbaya na ni roho mbayaaa.Nashukuru Mungu kwa kunitoa kwenye hilo janga sitegemei pesa za mawazo kuishi najitosheleza haswaaa.Vipi umeshapata Chai au nikutumie?
Nina shida ya elfu 60K nalipa kodi trh 28 plz... Goldnessa tajiri
 
Kuna mmoja nilimpa 100k Juzi, jana ananiambia dada ake aliomba 25k so akampa, bila haya akanambia kwa lugha ya wizi nanukuu "mpnz wangu kwa hiyo nakudai 25k yangu niliyompa dada"
[emoji16][emoji16]
 
Q
Mleta mada uko sahihi sana i feel what u say big tym, hayo maviumbe ni maj!n! mufilisi. Hela ninayo na sioni taabu kutoa ila sitoi na sitatoa hela kwa mwanamke ambae hana chembe ya huruma, utu na ubinadamu. I observe too well i know.

Sina tatzo na kuomba hela ila kuna vitu mwenyewe na vi expect toka kwake from my care and affection nayompa ila utakuta Yani ni maviumbe flan selfish sanaa yanjiangalia yenyewe tu yani ukutane nalo moja li zembe alaf halijitumi kufanya kazi let alone kuchangia hata mawazo chanya yakukusogeza hayana ila ni kuomba hela na kutaka kukutumia tu…..

Kuna mmoja nilikutana nae kwenye harusi tuka exchange number nikaimbisha siku ya 2 mtu ananiomba laki 2 out of thin air kwamba anataka ya saloon. WTF
Nikamuambia kwa hyo wewe mtu kuwa rafiki yako hadi akupe hela.

Mtu basi omba hata 50k utaeleweka mtu siku ya pili anataka laki 2. Hahaha kweli bongo tambalalez u know. Hahaha vijana madem wa kweli wapo na madem pisi kali njaa kali ni wa kumwaga pia.
Hao ndio wanafukuliwa mitaro na wahuni kwasababu yakupenda pesa
 
Sometimes hapa nakandia tu, ila nikibananishwa huku nimetegewa paja najikuta tu nazitoa.
Mkesha wa kuamkia leo krismasi nimeingia kiwanja kimoja hivi maeneo ya kijichi kinaitwa getway kuna demu kama miaka miwili hivi iliyopita nilikua namtomba rafiki yake yaani by then alikua shemeji yangu yule demu akaja kwenye meza yangu ana tako fulani hivi limetuna yaani lile natural sio la minyama uzembe basi akaanza kuniletea story mara anikatie viuno sikuonesha interest nae nikaona demu alivokua frastuated maana alifikiri nitababaika na lile tako punde kidogo akataka nimnunulie bia nikamwambia sina hela akaishia kunipa nasaha tu pale ooho natafuta ajira siku hizi umebadilika haupo kama zamani. Alijinunulia bia yeye mwenyewe kwa hela yake tukaishia kupiga story tu. Akabadilisha mbinu akataka tukalale wote akijua uko nitamuachia maokoto ila nikamchomolea pia. My brother, be a man of principles don't let your dick lead you.
 
Mkesha wa kuamkia leo krismasi nimeingia kiwanja kimoja hivi maeneo ya kijichi kinaitwa getway kuna demu kama miaka miwili hivi iliyopita nilikua namtomba rafiki yake yaani by then alikua shemeji yangu yule demu akaja kwenye meza yangu ana tako fulani hivi limetuna yaani lile natural sio la minyama uzembe basi akaanza kuniletea story mara anikatie viuno sikuonesha interest nae nikaona demu alivokua frastuated maana alifikiri nitababaika na lile tako punde kidogo akataka nimnunulie bia nikamwambia sina hela akaishia kunipa nasaha tu pale ooho natafuta ajira siku hizi umebadilika haupo kama zamani. Alijinunulia bia yeye mwenyewe kwa hela yake tukaishia kupiga story tu. Akabadilisha mbinu akataka tukalale wote akijua uko nitamuachia maokoto ila nikamchomolea pia. My brother, be a man of principles don't let your dick lead you.
Hizo principle unamletea mpaka demu uliye na malengo naye? Au mkeo?
 
Nilishawahi kumpiga chini demu mmoja hivi kausha damu. Anakuja geto anakaa mpaka siku 3 achangii chochote. Anakula bure, anatumia umeme bure, maji bure, shughuli ya kitandani kwa 98% naifanya mimi cha kushangaza anataka niwe nampa hela wakati kimsingi yeye ndie anatakiwa kunipa hela mimi kwa sababu ndie anaenufaika zaidi. Nikampiga chini.
Kwa hiyo bado unatafuta ajira?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom