2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Mwanamke lazima afundishwe kuwajibika hatuwezi kutengeneza kizazi cha kausha damu na omba omba kisa hamtulazimishi kuwapa hela. Wewe unaona sawa mwanamke hataki kufanya kazi anaishi mjini kwa kudanga na kuombaomba hela? Tukisema kila kitu kiruhusiwe kwa sababu tu watu wanafanya kwa hiyari yao tutakua na dunia ya ajabu sana. Turuhusu madawa ya kulevya sababu wananunuaji wananunua kwa hiyari yao? Turuhusu mashoga kwa sababu wanazibuliwa mtaro kwa hiyari yao?.
Hata ukiwa tajiri hautapampa mwanao kila anachotaka hata kama uwezi unao kuna mengine utamnyima ajue dunia haikupi kila kitu bure bure tu
Tatizo tunaowakumbusha kuwajibika mnatuona kama vile tunawaonea wivu kumbe sisi ndio tuna nia njema na nyie pamoja na generation yenu hao wanaosapoti muendekezwe kupewa hela ndio wanawalemaza akili na kualibu generation nzima maana ukialibu akili ya mwanamke umealibu akili ya jamii nzima maana mwanamke ndie mlezi anaei-programme akili ya mtoto tangu akiwa mdogo kabisa
Kausha damu lazima wakasirikie huu ujumbe umewagusa sana
 
mithredi mingiiiiii
af mtu mwenyewe chipsi funga.
mxxxxxxxxxxxxiiiiiiiee
 
" Wanawake hawana msaada wowote mwanaume akifulia" hii ndio point ya msingi ambayo mwanaume yoyote yule anapaswa kuitambua.
Tena anakukimbia na kukutelekeza kabisa huku akikuita wewe siyo type yake ili hali wakati unashilingi alikuona type yake

Wanawake ni vitu vya ajabu sana
 
Nyoosha maelezo, kusokota ile mbaya ndio umemaanishaje hapo? Wengine tunadate na wa tabora hebu usitumie code ngumu kwenye mambo ya kuwekana bayana.

Mwananke wa tabora akikupenda au akiwa ananufaika na wewe lazima akutengeneze ili utulie wana vi uchawi fulani
 
Jamni mwenzenu nataka niende kinyume na makubaliano hapa. Kuna demu kaniomba laki nimpe nisimpe ila mbushsu yake alishanipea. Anasema anataka kukuza biashara yake. Ushauri wenu wadau muhimu
Kama umekula mbususu yake usimpe. Huyo anataka kurevange
 
Wanawake Wana akili fupi mno unakuta anamiliki iPhone macho Matatu alafu kutwa nzima kuomba vocha hii imekaaje?
 
Nilimuacha geto mi nikaenda kwenye mishe Mishe zangu kafungua fridge kachukua kuku mzima kamukaanga akamla alibakiza shingo Tu na kipapatio nikamkuta sebuleni kajitandaza ameshikilia remote.... Nika agiza kitimoto nikala tukalala asubuhi kaamka kapasua mayai manne na soseji Kanywa na chai mengine akabeba kwenye mkoba ...
Anataka kuondoka ananiomba hela ya kusuka aisee nilimtoa mbio mbio....
Hawa viumbe sijui huwa wanatukomoa au ni nn mbwa hawa?
 
Nilimuacha geto mi nikaenda kwenye mishe Mishe zangu kafungua fridge kachukua kuku mzima kamukaanga akamla alibakiza shingo Tu na kipapatio nikamkuta sebuleni kajitandaza ameshikilia remote.... Nika agiza kitimoto nikala tukalala asubuhi kaamka kapasua mayai manne na soseji Kanywa na chai mengine akabeba kwenye mkoba ...
Anataka kuondoka ananiomba hela ya kusuka aisee nilimtoa mbio mbio....
Hawa viumbe sijui huwa wanatukomoa au ni nn mbwa hawa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] noma sana
 
Nilimuacha geto mi nikaenda kwenye mishe Mishe zangu kafungua fridge kachukua kuku mzima kamukaanga akamla alibakiza shingo Tu na kipapatio nikamkuta sebuleni kajitandaza ameshikilia remote.... Nika agiza kitimoto nikala tukalala asubuhi kaamka kapasua mayai manne na soseji Kanywa na chai mengine akabeba kwenye mkoba ...
Anataka kuondoka ananiomba hela ya kusuka aisee nilimtoa mbio mbio....
Hawa viumbe sijui huwa wanatukomoa au ni nn mbwa hawa?
E501CF8B-611F-42CC-BD52-DEC23AF4DCB7.gif
Hapo unatamani ungekuwa na huyo kuku na hizo sausages na hayo mayai ila ndio havikuwepo usijikute!!!!!
 
Back
Top Bottom