Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Huyu sio wewe[emoji1787]Jamani huyu kaniroga yaani kweli mie mzabzab wakutum laki nzima[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sio wewe[emoji1787]Jamani huyu kaniroga yaani kweli mie mzabzab wakutum laki nzima[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwa nini wasema hivyo...kweli tena nimemtumia laki yaani hapa naangalia tuu video ya matiti yake jamani ila laki yangu imeshae da hiyoHuyu sio wewe[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa nini wasema hivyo...kweli tena nimemtumia laki yaani hapa naangalia tuu video ya matiti yake jamani ila laki yangu imeshae da hiyo
NOMA SANA...Haya sasa tushamaliza miezi 9 ya mwaka 2024, ma-simp wote nipeni mrejesho wanawake wote mliowaohonga wamewanufaisha nini kimaendeleo.
Half american Bush Dokta Kelsea saa ingine hata mtu unakuwa hujamshobokea, kuna mdada mmoja mgeni alikuja ofisini kwetu kikazi, akaongea nasi, boss wetu akatusihi tubadilishane nae namba, so alichukua namba yangu, alichat na mm akiniuliza vitu vya kazi nikawa namjibu ipasavyo, tukaagana, nikafuta namba yakePia hakukuona tu uko vizuri financially bali.pia aliona namna gani umemshobokea sana
Kwahiyo kihasibu alitaka kukutia hasaraHakika. Kuna best yangu Juzi alinipigia simu anasema hana hata hela ya kula...nikampotezea. jana namkuta kamnunulia mama yake zawadi ya laki 1.