2024 Utamaduni wa kukopana pesa ufe. Ni utamaduni wa kijima.

TEMA mate chini wewe unauhakika gani hautaumwa na kumwacha yeye
Tena usijeshangaa wewe ndo ukapata huo ugonjwa wa kufa na yeye ndo akausaidia
Ww huwz nishaur lolot lle kwnz bd unahesab
z alnacha
 
Kwa watu washamba na ushamba ndo inaua undugu

Siwezi ua undugu au urafiki eti kwa ajili ya mkopo
hujaanza na hujui kuitafut hela na huijui vzr kawaid sna kusema ivo ukiw bdo unakula kwa mama
 
Kuna ukweli hapa.
 
nilishaga msamehe ila cha ajabu hata nikimkuta anafurukuta anaumwa anahitaji msaada wa shilingi mia tu anatibiwa na kupona kabxa nami niwe nayo sitampa nitamwacha afe
Watu wamekuwa si waungwana. sasa, hata maneno mazuri kwa toka kwa unayemdai yanaweza kukufanya umsamehe. Hii ya kutokupokea simu na unadaiwa ni usheitwani
Kuna Jamaa kaomba mara kadhaa nimkopeshe pesa . Kanyuti kimya na majuzi kanunua Infinix mpya. Sijui nimkumbushe au nimsubiri nijifanye nimesahau siku akija na dhiki zake namwambia atumie ile pesa niliyomkopesha nampa bure sasa
 
Hata mama mwenyewe anamikasa yake kwa mshua.
Hakuna kuaminiana katika dunia hii
 
Kukopesha mtu pesa ni laana, mi nimekopesha watu 2 jumla laki tano, nimeishiwa kurudishiwa laki 2 yani laki laki. Tena kwa kudai na tabu nyingi. Kukopesha ni utamaduni wa socialism hutakiwi kuchekewa katika ulimwengu huu wa kibepari. Ukitaka kunaribu mahusiano na mtu we mkopeshe hela yako utakuja kunishuru badae
 
hujaanza na hujui kuitafut hela na huijui vzr kawaid sna kusema ivo ukiw bdo unakula kwa mama
Wewe ndo hujui hela unavunja urafiki au undugu kwa sababu ya laki kadhaa
Tafuta hela dogo

Unaweza ukawa mkubwa na ukawa huna akili au utu
Nchi zinashindwa kulipa mikopo sembuse mtu juzijuzi hapa december 2023 ethiopia wamedefault wameshindwa kulipa mikopo yao
 
mtoto wa 2000 bora ungekaa kmy huna ujualo
Wewe ndo mtoto ni kawaida sana kwa watu wenye hela kukopeshana milion 5 au 10 mtu hakulipi na hauvunji urafiki

Sasa laki kadhaa ndo unavunja urafiki huoni ni kituko watu wanakopa million 100 na unaweka nyumba bondi na hulipi nyumba inauzwa na maisha yanaendelea

Unamuombea mabaya mtu kwa laki kadhaa eti akiumwa simsaidii serious tafuta hela hakuna mtu mwenye hela anayemuombea mabaya mtu kwa sababu ya laki kadhaa
 
Kama hujui kudai usikopeshe, Me mwenzenu najijua ndo udhaifu wangu hivyo naweza kumumkopesha mtu kiasi ambacho hata asiponilipa haitoniuma, kikizidi hapo atanisamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…