2024 Watanzania tutaandamana kulazimisha Dkt. Magufuli aongezewe muda zaidi. Umeme wa Stieglers utakapowaka, hospitali, SGR zitaleta shangwe sana

2024 Watanzania tutaandamana kulazimisha Dkt. Magufuli aongezewe muda zaidi. Umeme wa Stieglers utakapowaka, hospitali, SGR zitaleta shangwe sana

Habari wadau..

Nimeota maandamano makubwa ya kulazimisha magufuli abaki Rais mpaka atakavyokosa nguvu yatatokea mwaka 2025 kutokana na kasi yake ya maendeleo..

Nawaza hivi hata treni ya umeme haijaanza kazi ila anapendwa sana na wananchi mpaka wapinzani wanakosa hoja za kumpinga.. wanabaki kusema anatekeleza ilani ya chama chao..

Nawaza tu miaka hiyo 2024 / 2025 umeme wa stieglers umewaka.. unit moja ya umeme bei chini.. huku umeme haukatiki katiki... huku hospitals nchi nzima zinahudumia wa Tanzania.. huku ma bara bara ya lami yamenoga...itakuwa balaaaa la shangwe kwa watanzania.
Kama ni "ndoto" Basi elewa kuwa hakuna mwenye uhakika wa kufika 2024.

Hiyo "ndoto" yako kama umeota unayaona "maandamano" basi wewe haupo kwenye hayo maandamano, kwani si mshiriki, ingekuwa mshiriki ungeota unashiriki hayo maandamano lakini wewe umeota "unayaona tu".

Au wewe ndiye "Nabii" Tito?
 
Mh. Mbowe lazima aje na hoja zenye mashiko ili 2020 tumuelewe. Lazima ajipange asiongelee vitu kama Barabara, maji, umeme na Hospitali yeye ajipange aje na hoja tofauti.
 
katiba iheshimiwe hata kama rais ni malaika.

Hizi ndo akili za Mafisi wa Lumumba...!
Hilo halitawezekana asilan! Magufuli ni Nani hata aongezewe miaka?
Jitu linaua,kuumiza na kutesa Watz wenzetu kwa kisingizio Cha maendeleo....huku likihadaa watu kuwa ati maendeleo HAYANA CHAMA.....non-sense!
 
Habari wadau..

Nimeota maandamano makubwa ya kulazimisha Magufuli abaki Rais mpaka atakavyokosa nguvu yatatokea mwaka 2025 kutokana na kasi yake ya maendeleo..

Nawaza hivi hata treni ya umeme haijaanza kazi ila anapendwa sana na wananchi mpaka wapinzani wanakosa hoja za kumpinga.. wanabaki kusema anatekeleza ilani ya chama chao..

Nawaza tu miaka hiyo 2024 / 2025 umeme wa stieglers umewaka.. unit moja ya umeme bei chini.. huku umeme haukatiki katiki... huku hospitals nchi nzima zinahudumia wa Tanzania.. huku ma bara bara ya lami yamenoga...itakuwa balaaaa la shangwe kwa watanzania.
naona mnataka kuungana na huyu mzee wenu kuendelea kuvunja katiba
 
Habari wadau..

Nimeota maandamano makubwa ya kulazimisha Magufuli abaki Rais mpaka atakavyokosa nguvu yatatokea mwaka 2025 kutokana na kasi yake ya maendeleo..

Nawaza hivi hata treni ya umeme haijaanza kazi ila anapendwa sana na wananchi mpaka wapinzani wanakosa hoja za kumpinga.. wanabaki kusema anatekeleza ilani ya chama chao..

Nawaza tu miaka hiyo 2024 / 2025 umeme wa stieglers umewaka.. unit moja ya umeme bei chini.. huku umeme haukatiki katiki... huku hospitals nchi nzima zinahudumia wa Tanzania.. huku ma bara bara ya lami yamenoga...itakuwa balaaaa la shangwe kwa watanzania.
Huo mda mpk ufike maiti yako itakuwa ishaozea kaburini na kubaki ma skeletons matupu. Rip in advance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja ila nchi yetu sote Kuna Umuhimu pia wa kusikiliza pia mawazo ya wengine km mawazo yko unavyo taka tupate Rais wa maisha kikubwa tuvumilie hoja na maoni ya wengine pia...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau..

Nimeota maandamano makubwa ya kulazimisha Magufuli abaki Rais mpaka atakavyokosa nguvu yatatokea mwaka 2025 kutokana na kasi yake ya maendeleo..

Nawaza hivi hata treni ya umeme haijaanza kazi ila anapendwa sana na wananchi mpaka wapinzani wanakosa hoja za kumpinga.. wanabaki kusema anatekeleza ilani ya chama chao..

Nawaza tu miaka hiyo 2024 / 2025 umeme wa stieglers umewaka.. unit moja ya umeme bei chini.. huku umeme haukatiki katiki... huku hospitals nchi nzima zinahudumia wa Tanzania.. huku ma bara bara ya lami yamenoga...itakuwa balaaaa la shangwe kwa watanzania.
penye "Tanzania" weka "Sukuma"!
 
Back
Top Bottom