Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Ataishia 2025.Chawa na walamba asali kwa kupitia yeye wanampa moyo eti atatoboa 2025 ki ulaini kuliko wote walio mtangulia.
Wapo walio anza kuwa na mashaka ya jinsia yake ki uongozi na huku wakienda mbali zaidi kwa wao kuonyesha kujutia kuongozwa naye.
Atatoboa kweli ki siasa 2025?
Binafsi naliona giza ki siasa kwake
Kwa MAITI sisi watanzania anaweza kutoboa. Lakini ukienda kwenye mitandao, kila mmoja amemkinai. Sidhani kama watanganyika atapata wa kumpa kura. wasiwasi wangu ni mapolisi kuiba kura, lakini kwa halali HATOBOI KABISAChawa na walamba asali kwa kupitia yeye wanampa moyo eti atatoboa 2025 ki ulaini kuliko wote walio mtangulia.
Wapo walio anza kuwa na mashaka ya jinsia yake ki uongozi na huku wakienda mbali zaidi kwa wao kuonyesha kujutia kuongozwa naye.
Atatoboa kweli ki siasa 2025?
Binafsi naliona giza ki siasa kwake
Wewe unaonaje?Chawa na walamba asali kwa kupitia yeye wanampa moyo eti atatoboa 2025 ki ulaini kuliko wote walio mtangulia.
Wapo walio anza kuwa na mashaka ya jinsia yake ki uongozi na huku wakienda mbali zaidi kwa wao kuonyesha kujutia kuongozwa naye.
Atatoboa kweli ki siasa 2025?
Binafsi naliona giza ki siasa kwake
UongoMungu mwenyewe ndio anaejua anatufaa au hatufai hakuna mtu atayeweza kumbadilisha kiongozi wa juu ndio maana tunaambiwa tuitii mamlaka ila kwenye utawala kukiwa dhuluma iliyozidi vilio vya wengi ni Moja ya mambo ambayo Mungu huwa anasikia haraka sana anafanya maamuzi Mh rais usifanye michezo na vilio vya wamasai watu zaidi za laki moja wanakulilia wewe
Mungu yupi huyo!?Mungu mwenyewe ndio anaejua anatufaa au hatufai hakuna mtu atayeweza kumbadilisha kiongozi wa juu ndio maana tunaambiwa tuitii mamlaka ila kwenye utawala kukiwa dhuluma iliyozidi vilio vya wengi ni Moja ya mambo ambayo Mungu huwa anasikia haraka sana anafanya maamuzi Mh rais usifanye michezo na vilio vya wamasai watu zaidi za laki moja wanakulilia wewe lakini tunakundi kubwa la gen z vijana Hawa Wana mengi mioyo yao
Kw wakristo, kuna nukuu flani "...watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..." - wameacha kutumia bongo walizokabidhiwa na Mungu huyo na badala yake wanamuomba awafanyie kazi yeye! Kila kitu, muombe Mungu!! Kuna nchi hazimjui Mungu, zinatupa misaada, bado hatujifunzi ...loh!Mungu yupi huyo!?
Kasome hilo andiko vizuri "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa "haina mana hiyo kama wengi wanavyolitafsiri Mungu amezungumza juu ya watu wapendao uzinzi na uasheratiKw wakristo, kuna nukuu flani "...watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..." - wameacha kutumia bongo walizokabidhiwa na Mungu huyo na badala yake wanamuomba awafanyie kazi yeye! Kila kitu, muombe Mungu!! Kuna nchi hazimjui Mungu, zinatupa misaada, bado hatujifunzi ...loh!
Hahaha japo inauma lkn ndio ukweliHapa policcm huku waliccm, tunae na tunatamba nae.....mitano tena.