2025 atatoboa kweli!?

Kasome hilo andiko vizuri "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa "haina mana hiyo kama wengi wanavyolitafsiri Mungu amezungumza juu ya watu wapendao uzinzi na uasherati
Nawe ni mtaalam wa vifungu! Kwamba Mungu amezngmzia "uzinzi na uasherati" tu ktk mlango mzma! ati "...kama wengi wanavyolitafsiri.." ikiwa wachache mna tafsiri tofauti! Nlitegmea ungejibu kw nini wengi wakikumbana na changamoto au wakisababishiwa changamoto mblmbl wansema "muombe Mungu" badala ya kutumia bongo zao kutatua! Hata sasa hujachlewa, changia hoja- si kusahihisha vifungu, usije ukaanzisha mjadala mwngn tofauti
 
Kwani Nape Nnauye anasemaje?
 

..mtu wenu amechanganyikiwa.

..amekengeuka.

..anatuita Watz MBWA WAPUMBAVU.
 
Mungu yupi?
 
Tulisha sema na nasema tena CCM Mungu alishaifuta kimamlaka ya kiutawala yanayo tokea si kwa bahati mbaya bali nikatika njia ile ile Bwana ameeleza na ilishakua
 
Na yeye hajui kama wamemtega, hivi sasa wanatengeneza matukio kwa wingi ili walambe pesa kwa wingi watumwe huku na kule wapate posho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…