2025 CCM watakubali kufanya kosa walilofanya 2015?

2025 CCM watakubali kufanya kosa walilofanya 2015?

Joined
Feb 18, 2019
Posts
53
Reaction score
539
Ni wazi umaarufu wake kwa sasa umeporomoka kwa kiwango kikubwa sana. Laiti uchaguzi ungekuwa ni leo kisha akasimamishwa yeye na mzee wa ubwawa ni dhahiri shahiri mzee wa ubwabwa angeondoka na ushindi.

Kauli zake pia zimechangia kwa kiasi kikubwa kuzidi kuporomosha umaarufu wake. Kujimwambafai ki-gender kumemfanya hata ndani ya chama chake top layer wagune, hata wale walompambania kuwepo hapo wameanza kuona kama anapwaya kwa kauli zake tata za siku za hivi karibuni.

Swali la kujiuliza ni kwamba kosa walilofanya 2015 watakubali lijirudie 2025? Muda utaongea.
 
Hapana lazima tuhakikishe msukuma anarudi kuongoza nçhi, hakuna anayeweza kuongoza hii nçhi zaidi ya mtu kutoka Usukumani!
 
Nchi hii sipigi kura tena,nasubiri ambush ya JWTZ tu siku wakiamua nami niingie road kuwaunga mkono,Si Chadema,act wala hao mafisadi CCM sipigi kura a.k.a kula
 
Wanahasiraaaaa, wanahangaikaaaaa! Bila uwepo wa Mungu na nguvu isiyopingika ya maamuzi yake basi likitaka kuwa balaa sana!
 
Wana CCM Bana, hawaachi vituko hata siku moja [emoji23][emoji23] Wanajitoa ufahamu na kujifanya hawatambui nguvu ya Mama SSH akiwa ndiye Rais na Mwenyekiti Taifa wa chama chao.

Vikao vyote vya kupitisha jina la mpeperusha bendera ni yeye peke yake ndiye mwenye "influence" kubwa juu. Hata katiba ya CCM hairuhusu nafasi ya "the incumbent" kushindanishwa na mtu mwingine akiwa katika kipindi chake cha Kwanza.

Sasa haya mambo ya sijui yeye ni Mzanzibari, mara sijui yeye ni mwanamke mnayaokota wapi? Kama mnataka Rais mwanaume na ambaye si Mzanzibari basi subirini muone wagombea watakaojitokeza kutoka vyama vya upinzani.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Nyie Watu msiojulikana a.k.a Sukuma Gang mnapata tabu saaana!
Mama Samia ameshamfunika "Mungu" wenu!
Kwa uongozi wenu tuliouona itachukua karne nyingi sana Nchi hii kupata Rais kutoka Usukumani!
 
Raisi wa mpito hawezi kuwa raisi wa milele.Achukue chake mapema
 
Back
Top Bottom