Pre GE2025 2025 Je, Watanzania wanahitaji Rais wa aina gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mungu yupi unamaanisha
Mungu wa usawa na haki, Mungu wa uhuru na amani, Mungu muumbaji mbingu na ardhi na vyote viijazavyo dunia. Mungu wa upendo, rehema na neema.

Mungu ambae wanaCCM wanamuomba na kumlilia na hatimae huwajibu kwa kushinda chaguzi, kushika dola, kuunda serikali, kuongeza nchi na kuwatumikia waTanzania.

Na kwa Neema na Baraka za Mungu CCM itashinda kwa kishindo kikuu uchaguzi mkuu 2025, na mgombea urasi wake akiwa ni Dr Samia Suluhu Hassan πŸ’
 
Watanzania sio wanafki kama usemavyo na ili uamini hilo dora ijitenge na siasa ifanye majukumu yake ya kisheria na kikanuni kuwe na uwanja sawa wa kisiasa ndio utajuwa kama Watanzania sio wanafki kama usemavyo
 
Duh, ndo huyo wa haki na amani?
Anaetoa baraka za wanaCCM kuua na kuchinja kweupe, alieumba dhahabu, almas, tanzanite, na ardhi safi lakin akawanyima ufahamu wa kuvuna na kuzitumia kwa manufaa ya watanzania bali wachache kujinufaisha?

Mungu aliebariki roho mbaya za kikatili kwa watu wa CCM , akawapa ujasiri wa kuona maskin wa taifa lao kama vikaragosi, unamzungumzia Mungu yupi wew, au mungu aliewapa ujasiri watu waibe na kupora mali za maskini na kuzipeleka kwa wazee wa masinagogi kutoa harambee, ni yupi mungu wamzungumzia ...

Taifa linaangamia kwa kulea upumbavu.
 
Gentleman,
chuki binafsi, dhana na Imani potofu ilojaa moyoni mwako ni mali yako binafsi, hakuna wa kuhangaika au kubabaika nayo.

Kama Taifa,
chini ya serikali sikivu ya CCM, tutaendelea kuilinda Amani ya waTanzania wato kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile.

Ukimendea wake za watu na kutolewa mangeu huna haja ya kusingizia utekaji, acha tamaa na vitu vya watu πŸ’
 
Maisha yanakatisha tamaa kwa kweli.

Hakuna mtu ambaye hapendi kuongozwa na mwanamke endapo uongozi wake utakuwa mzuri na Wala hakuna mtz anayeweza hofu Hilo coz kwanza Ni sifa kubwa.

Watanzania wanachukizwa zaidi na kiongozi ambaye kwanza anawanyima watu uhuru wa mawazo yao tofauti ambayo kimsingi ndio chachu na kianzilishi Cha maendeleo ya nchi kwa ujumla. Imefika hatua mbaya Sana kwa Sasa kiukweli , mtanzania amebanwa kila angle ya mawazo mbaya zaidi kwa kuwa wajinga ndio asilimia kubwa nchini basi namba hiyo hutumiwa kuwa nyenzo yakulazimisha wachache Hawa wenye Nia ya dhati kutumbukia kwenye mchezo wao.
Nafkiri kiongozi makini Ni Kama mpira wa miguu uwanjani. Mchezaji mzuri anaonekana mapema tu, Wala haihitaji matangazo meeengi. Na kufosi kukubalika. Hali Ni Tata. Yaani viongozi wa Leo sio tu kwamba wananchi hawapendi hasha! Bali hata maisha hayapendi. Nivile tu haijakaribia hali ya usyria.
 
Rais Mwanaume mwenye hofu ya Mungu na anayekerwa na rushwa na ufisadi kutoka moyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…