2025 ni Samia tena, ila kwa Bunge lenye wabunge hawa haitasaidia kitu

2025 ni Samia tena, ila kwa Bunge lenye wabunge hawa haitasaidia kitu

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Kuna kila sababu ya kuendelea na Rais SSH 2025, sababu ana mipango na miradi mingi ya kuikamilisha.

Tatizo ni kwa hili Bunge halimsaidii sana mama Samia bado wana mawazo ya CCM ya zamani kwamba kitu kikishaletwa na Rais au Waziri ni cha kupitisha tu wengine hawajisumbui hata kufuatilia mijadala wanasubiri kupitisha tu.

Lakini kwa Mama alivyo ni mtu muelewa na msikivu nadhani 2025 ni Muda muafaka wa kuwa na Bunge litakalo msaidia kuongoza Hasa lenye mchanganyiko kutoka vyama Pinzani kama CHADEMA, ACT, CUF .nk.
 
Mapaka!😁😁😁
 
Kuna kila sababu ya kuendelea na Rais SSH 2025, sababu ana mipango na miradi mingi ya kuikamilisha

Tatizo ni kwa hili Bunge halimsaidii sana mama Samia bado wana mawazo ya CCM ya zamani kwamba kitu kikishaletwa na Rais au Waziri ni cha kupitisha tu wengine hawajisumbui hata kufuatilia mijadala wanasubiri kupitisha tu

Lakini kwa Mama alivyo ni mtu muelewa na msikivu nadhani 2025 ni Muda muafaka wa kuwa na Bunge litakalo msaidia kuongoza Hasa lenye mchanganyiko kutoka vyama Pinzani kama CHADEMA, ACT, CUF .nk .
Mambo ya wabunge mtajuana wenyewe ila bado wabunge wenginwa ccm watapita kwa sababu mama kaupiga mwingi Sana kwenye majimbo yao,kuanzia barabara,huduma za afya,elimu,maji hadi kilimo..
 
  • Thanks
Reactions: RNA

Attachments

  • Screenshot_20220608-154316.png
    Screenshot_20220608-154316.png
    285.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220608-153546.png
    Screenshot_20220608-153546.png
    145.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220608-110004.png
    Screenshot_20220608-110004.png
    259.9 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220608-082005.png
    Screenshot_20220608-082005.png
    239.2 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220607-223233.png
    Screenshot_20220607-223233.png
    201.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220607-223143.png
    Screenshot_20220607-223143.png
    257.3 KB · Views: 10
Kuna kila sababu ya kuendelea na Rais SSH 2025, sababu ana mipango na miradi mingi ya kuikamilisha.

Tatizo ni kwa hili Bunge halimsaidii sana mama Samia bado wana mawazo ya CCM ya zamani kwamba kitu kikishaletwa na Rais au Waziri ni cha kupitisha tu wengine hawajisumbui hata kufuatilia mijadala wanasubiri kupitisha tu.

Lakini kwa Mama alivyo ni mtu muelewa na msikivu nadhani 2025 ni Muda muafaka wa kuwa na Bunge litakalo msaidia kuongoza Hasa lenye mchanganyiko kutoka vyama Pinzani kama CHADEMA, ACT, CUF .nk.
Nafasi aloipata Mh Rais Kwa kudra ni fursa kwake kuifikisha Nchi pazuri.

Ashiriki kutuletea KATIBA mpya KAZI ambayo alianza na kuishia njiani akiwa Makamo mkt Bunge la Katiba.

Tukipata Katiba mpya ndo tufikiri kuhusu uchaguzi.

Kama Kweli una UPENDO na Nchi Yako, NI HATARI kuingia ktk Uchaguzi na Katiba hii. Tupambanie KATIBA mpya kwanza.Amen
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Nafasi aloipata Mh Rais Kwa kudra ni fursa kwake kuifikisha Nchi pazuri.

Ashiriki kutuletea KATIBA mpya KAZI ambayo alianza na kuishia njiani akiwa Makamo mkt Bunge la Katiba.

Tukipata Katiba mpya ndo tufikiri kuhusu uchaguzi.

Kama Kweli una UPENDO na Nchi Yako, NI HATARI kuingia ktk Uchaguzi na Katiba hii. Tupambanie KATIBA mpya kwanza.Amen
Umenena vyema
 
Kwani kukiwa na barabara, huduma za maji, elimu nk ni lazima wananchi wakupe kura?
Ni Kweli kabisa, unaweza fanya KAZI vizuri na usichaguliwe.

KUCHAGULIWA au kutochaguliwa ni maamuzi ya Wananchi.

Ktk watu Zaid ya ml 60 Si lazima wawe wao tu. Amen
 
Wakipinga mnawatukana mnasema wanamkwamisha raisi
 
Back
Top Bottom