Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Bahati mbaya raia hawamuelewi.Yeah I do.... but she is doing good job, My opinion.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya raia hawamuelewi.Yeah I do.... but she is doing good job, My opinion.
Tubadili mfumo, tupate KATIBA mpya.Yeah I do.... but she is doing good job, My opinion.
CCM hii ya sasa Si Ile aloanzisha Mwl NYERERE.Since Madam President becamed a president.
We unataka mpaka upewe Hela ndio umchague ?Kwani kukiwa na barabara, huduma za maji, elimu nk ni lazima wananchi wakupe kura?
Nimemwambia huyo anayesema sijui barabara, hospitali nk kuwa ndio uhakika wa kupewa kura. Miundombinu ni wajibu wa serikali hata iliyoingia kwa kupindua nchi.We unataka mpaka upewe Hela ndio umchague ?
Sawa mkuuNimemwambia huyo anayesema sijui barabara, hospitali nk kuwa ndio uhakika wa kupewa kura. Miundombinu ni wajibu wa serikali hata iliyoingia kwa kupindua nchi.