utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
[emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM kwa sehemu kubwa mnajifariji Samia hata kama mtaforce agombee na kushinda kwa mbinu zote chama chemu kitapooza na 2030 kazi itakuwa ngumu sana kwenu!Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Mungu hayupo upande wake na atashughulika naye tu hivi karibuni. Ni bomu hilo wala hakuna kiongozi hapo. Kuachia ufisadi na deal ndio umsifie ?wapigaji watamsifu tu lakini ukiwa mtanzania halisi huwezi sema kuna kiongozi hapa. Wajinga kama wewe nenda zenj ukaone vile mnaibiwa huku. Wananchi wanateseka kwa ukali wa maisha,miradi mingi bara inasuasua wala Hana muda nanyi. Wewe pamoja na huyu unayempigia debe mtashindwa kwa utapeli wenu huu. Shetani wewe na matapeli yoteKwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Kwahiyo na wewe unajiita mtabiri?Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
CHAWA LIKUUBWAAAHivi chawa akiwa mkubwa anaitwaje?
Sina hofu mama atashinda kwa kishindo anapendwa sana na wengi
Yaani jamaa anatabiri mafuriko Jangwani kipindi cha masikaYaah! Kila mtu anajua kuwa atashinda kwa kishindo lkn kwa hisani ya dola
Wewe tangu Jiwe amekuwacha mjane unasumbua sanaUmeandika vizuri ila hili la huruma ya jinsia linafikirisha kidogo,mwisho weka namba ili akumbuke kuna mja huku anampigania kwa hali na mali!
Umemaliza kazi mzeeMwenyekiti wa Chama ni Mgombea huyo huyo anawateua Wakurugenzi wa Halmashauri na Manispaa na anawalipa Mishahara na magari LAZIMA waibe kura
Mwenyekiti wa Chama ni mgombea huyo huyo anawateua Viongozi wa Tume ya Uchaguzi anawalipa Mishahara na magari LAZIMA imtangaze
Mwendazake ktk uchaguzi wa 2019 na 2020 alitamka yafuatayo:
"Mkurugenzi atakaye mtangaza Mpinzani ktk Jimbo Lake KAZI HANA haiwezekeni nimlipe Mshahara nimpe na gari amtangaze
Katika UCHAGUZI ule yaliyoshuhudia ni UCHAFUZI wa UCHAGUZI wagombea wa Upinzani waliondolewa na pale walipokuwepo walipata kura 20
Wagombea wa CCM wapo waliopita bila kupingwa baada ya Wapinzani kuzuiwa kushiriki na MWENDAZAKE alipata ASILIMIA 100
Kwa hiyo kwa Katiba na Tume ya Uchaguzi iliopo MAMA atashinda kwa Asilimia 200
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Wakati huo tume wako jikoni?Atashinda njaa labda
Sema unampenda wewe na CHAWA WENZAKOSina hofu mama atashinda kwa kishindo anapendwa sana na wengi
Mbona tayari wewe ni mjinga?Siwezi kujibu ujinga wako na mm nionekane mjinga wewe mtoa taarifa
Chawa kaziniYeah ni ushindi pia kwa kuwa nchi hii hauwezi kushinda bila kukubaliwa na dola
Ngoja tuone nyinyi chawa wa mamaKwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Labda kwa kutumia dola. Huyu msaliti wa magufuli hakuna wanamtaka. Akacheze cinema na kina tony blair.Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Big chawaHivi chawa akiwa mkubwa anaitwaje?
Miaka yote wimbo wenu ni ule uleCCM kwa sehemu kubwa mnajifariji Samia hata kama mtaforce agombee na kushinda kwa mbinu zote chama chemu kitapooza na 2030 kazi itakuwa ngumu sana kwenu!
Kwa maana chama kitachokwa na kwa kuwa Rais aliyepo hatakuwa na ushawishi kazi itakuwa ngumu sana maana vizazi vinabadilika!
Kwangu mimi sioni haja ya Samia kugombea apumzike tu kwa masrahi ya chama na nchi!
Samia ni kiongozi mpole asiyetaka lawama lakini ni Rais asiyemtendaji na mfatuliaji wa mambo kwa undani!
Samia akomee hapo atajenga heshima yake na akiweza awaachie wananchi katiba mpya kama legacy yake!
La sivyo nawahakikishia kama mtalazimisha mwisho wa Samia 2030 ndo utakuwa mwisho wa CCM!
Asanteh!
Watz hawako tayari kutawaliwa na raia feki wala mzanzibar wala mpumbavu pole sanaKwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.