Pre GE2025 2025 ni ushindi wa kishindo kwa Rais Samia

Pre GE2025 2025 ni ushindi wa kishindo kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.

Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.

Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.

Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.

Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?

Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.

Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.

Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.

Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.

Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
CCM kwa sehemu kubwa mnajifariji Samia hata kama mtaforce agombee na kushinda kwa mbinu zote chama chemu kitapooza na 2030 kazi itakuwa ngumu sana kwenu!
Kwa maana chama kitachokwa na kwa kuwa Rais aliyepo hatakuwa na ushawishi kazi itakuwa ngumu sana maana vizazi vinabadilika!
Kwangu mimi sioni haja ya Samia kugombea apumzike tu kwa masrahi ya chama na nchi!
Samia ni kiongozi mpole asiyetaka lawama lakini ni Rais asiyemtendaji na mfatuliaji wa mambo kwa undani!
Samia akomee hapo atajenga heshima yake na akiweza awaachie wananchi katiba mpya kama legacy yake!
La sivyo nawahakikishia kama mtalazimisha mwisho wa Samia 2030 ndo utakuwa mwisho wa CCM!
Asanteh!
 
Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.

Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.

Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.

Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.

Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?

Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.

Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.

Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.

Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.

Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Mungu hayupo upande wake na atashughulika naye tu hivi karibuni. Ni bomu hilo wala hakuna kiongozi hapo. Kuachia ufisadi na deal ndio umsifie ?wapigaji watamsifu tu lakini ukiwa mtanzania halisi huwezi sema kuna kiongozi hapa. Wajinga kama wewe nenda zenj ukaone vile mnaibiwa huku. Wananchi wanateseka kwa ukali wa maisha,miradi mingi bara inasuasua wala Hana muda nanyi. Wewe pamoja na huyu unayempigia debe mtashindwa kwa utapeli wenu huu. Shetani wewe na matapeli yote
 
Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.

Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.

Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.

Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.

Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?

Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.

Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.

Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.

Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.

Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Kwahiyo na wewe unajiita mtabiri?
 
Anapendwa na chawa. Na Tanzania hakuna uchaguzi bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Sina hofu mama atashinda kwa kishindo anapendwa sana na wengi
 
Mwenyekiti wa Chama ni Mgombea huyo huyo anawateua Wakurugenzi wa Halmashauri na Manispaa na anawalipa Mishahara na magari LAZIMA waibe kura

Mwenyekiti wa Chama ni mgombea huyo huyo anawateua Viongozi wa Tume ya Uchaguzi anawalipa Mishahara na magari LAZIMA imtangaze

Mwendazake ktk uchaguzi wa 2019 na 2020 alitamka yafuatayo:
"Mkurugenzi atakaye mtangaza Mpinzani ktk Jimbo Lake KAZI HANA haiwezekeni nimlipe Mshahara nimpe na gari amtangaze

Katika UCHAGUZI ule yaliyoshuhudia ni UCHAFUZI wa UCHAGUZI wagombea wa Upinzani waliondolewa na pale walipokuwepo walipata kura 20

Wagombea wa CCM wapo waliopita bila kupingwa baada ya Wapinzani kuzuiwa kushiriki na MWENDAZAKE alipata ASILIMIA 100

Kwa hiyo kwa Katiba na Tume ya Uchaguzi iliopo MAMA atashinda kwa Asilimia 200

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Umemaliza kazi mzee
 
Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.

Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.

Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.

Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.

Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?

Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.

Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.

Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.

Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.

Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Ngoja tuone nyinyi chawa wa mama
Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.

Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.

Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.

Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.

Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?

Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.

Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.

Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.

Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.

Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Labda kwa kutumia dola. Huyu msaliti wa magufuli hakuna wanamtaka. Akacheze cinema na kina tony blair.
 
JPM angekuwa anamalizia muda wake.
 
CCM kwa sehemu kubwa mnajifariji Samia hata kama mtaforce agombee na kushinda kwa mbinu zote chama chemu kitapooza na 2030 kazi itakuwa ngumu sana kwenu!
Kwa maana chama kitachokwa na kwa kuwa Rais aliyepo hatakuwa na ushawishi kazi itakuwa ngumu sana maana vizazi vinabadilika!
Kwangu mimi sioni haja ya Samia kugombea apumzike tu kwa masrahi ya chama na nchi!
Samia ni kiongozi mpole asiyetaka lawama lakini ni Rais asiyemtendaji na mfatuliaji wa mambo kwa undani!
Samia akomee hapo atajenga heshima yake na akiweza awaachie wananchi katiba mpya kama legacy yake!
La sivyo nawahakikishia kama mtalazimisha mwisho wa Samia 2030 ndo utakuwa mwisho wa CCM!
Asanteh!
Miaka yote wimbo wenu ni ule ule
 
Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.

Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.

Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.

Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.

Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?

Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.

Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.

Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.

Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.

Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Watz hawako tayari kutawaliwa na raia feki wala mzanzibar wala mpumbavu pole sana
 
Kwa Sukari kutuuzia watanganyika kilo moja kwa 4000.
 
Back
Top Bottom