Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo pic tu kwenye avatar yako inatoa jibuRaia feki ni nani? Hebu acha siasa za majitaka
Chawa ni wapumbavu snKwahiyo kusiwe na uchaguzi kabisaa kama imeshajulikana atashinda kwa kishindo, Duh! nimejaribu kufikiria mara 100 sijaelewa kabisa.
Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Kwa hiyo hakuna haja ya wananchi kupiga kura?Yeah ni ushindi pia kwa kuwa nchi hii hauwezi kushinda bila kukubaliwa na dola
Wananchi kupiga kura ni haki yao kumchagua wanayemtaka na ndio maana hata vyama pinzani vinapoweka wagombea wao huwa wanakubaliwa na dola na kuachwa wagombea hivyo sanduku la kura ndio hutoa majibu kati ya wagombea wote waliokubaliwa na dola ni yupi ambaye wananchi wamemchaguaKwa hiyo hakuna haja ya wananchi kupiga kura?
Kama kawaida...kazi ipo!Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Hii sasa ni porojo kwa sababu mwanzo umesema hakuna anayeshinda bila dola kukubali..Wananchi kupiga kura ni haki yao kumchagua wanayemtaka na ndio maana hata vyama pinzani vinapoweka wagombea wao huwa wanakubaliwa na dola na kuachwa wagombea hivyo sanduku la kura ndio hutoa majibu kati ya wagombea wote waliokubaliwa na dola ni yupi ambaye wananchi wamemchagua
Kwa maana hii wananchi wanapoteza muda kwenda kupiga kura, na upotevu wa pesa za walipa kodi maskini kugharamia mchakato wa uchaguzinchi hii hauwezi kushinda bila kukubaliwa na dola
Unaitwa Fukua ,kikwetu Fukua ni panya naona unaelekea kwenye upanya Hv sasa naamini majina ya watu huonesha jinsi walivyo.Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Kabisa ndugu, kuna mambo wanayafanya kama vile wote TZ ni majuhaChawa ni wapumbavu sn
Na tutayaona mengi .
Mitano tena 😁