Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #41
safi sana kiongoziWiki ya Tatu hii sijagusa!
hawa Ushimen , DeepPond ni wakupuuzwa kabisa kwanza wana mchango mdogo sanaš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sana kiongoziWiki ya Tatu hii sijagusa!
Nilikutana nao maeneo ya Goba nikawaonesha hilo chupiškiongozi hii ukikutana na trafiki utatoboa kweli?
Nilitapika usiku kucha mpaka nikahis labda niliwekewa kitumkuu unaachaje gambe kirahisi ivyo?
loohš„ŗAnother man down...
Yaani tumepoteza mwanachama makini sana aiseee...š¤Ø
saivi wakili wetu yupo likizo tutakutana mahakamani
Marafiki wema sisi, Uyo jamaa siku akiacha pombe, ataugua tezi dume
maharamia watupu hawašMarafiki wema sisi, Uyo jamaa siku akiacha pombe, ataugua tezi dume
daah hii mbinu yako kibokoBinafsi, nilikuwa mpiga pombe hodari, Kila aina ya pombe, pombe niliyokulia ni ulanzi,ššš... Mzee alikuwa na "msitu" wa hii KITU kama ekari 8!
Nikaanza kuweka mkakati wa kuacha Moja baada ya nyingine... Mbinu niliyokuwa natumia, nagonga aina hiyo ya pombe ninayotaka kuiacha kwa Kilasi cha kupitiliza Hadi kufuru (Kwa kudhamiria, siyo bahati mbaya).
Baada ya hapo ilianza kunitesa kwa hang over, naichukia na kuiacha KABISA. Nikafanikiwa kuziacha zote isipokuwa Moja TU, "Dry white wine"!
Hii hata nikigonga nyingi, Haina cha hang over Wala nini... Ndiyo napambana nayo! Mwaka wa 5 sasa sichomoki!
ushindwe na ulegeeKaribu tuzimue
View attachment 3189888
Kama lengo lako ilikua uandike januari, basi hujaacha pombe bado unalewanjanuari
Taifa linatutegemea mkuu...
You can go far than you can imagine, only if ukidhamiriaTangu November 10 sijagusa, siamini kama hizi sikukuu mbili zimenipita bila kamnyweso wala moshi. Natamani kuona how far I can go.
Mkuu,Mimi tarehe 26 dec zilinifanya vibaya,nazan ndo nimeachana nazo hvyo na marafik nao nataka nisiwe nao
Tunampoteza mlipa Kodi mmoja..Taifa linatutegemea mkuu...
Sasa Dr. Usipo kua unakunywa ndio utukane wanao drink responsiblesafi sana...pombe ni mahususi kwa walio na mtindio kimawazo
walevi ni kundi la wapumbavu
Mkuu naamini hivyo. Siku 30 za mwanzo zilinipa usumbufu lakini matokeo chanya yaliyojitokeza yalinipa nguvu ya kukaza.You can go far than you can imagine, only if ukidhamiria
,,Kuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa.
Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.