2025 Rais wetu ni Lissu. Mbowe ni sawa na Zitto, wote Mamluki

bado sijaelewa apo alipo simama lisu uku kwetu ni kilindo cha kupigia mahindi au ndo anapgia kampeni
 
ingawa sikutaka kusoma huu upuuzi wako, nataka nikuulize we na nani atakuwa rais wenu?
 
Acha mzaha wewe. Lisu huyu kibaraka wa mashoga kina armsterdam au mwingine? Lisu huyu kibaraka wa mabeberu? Lisu huyu kila kitu ni hapana hana wazo lolote chanya kwa maendeleo ya nchi?
Labda awe rais wako na familia yako
 
Wewe naona una tatizo la kutojua kusoma, au kama unajua kusoma basi una tatizo la kuelewa unachokisoma.
Ebu soma tena ile sentensi niliyonukuu, halafu uniambie yeye alikuwa anamsemea nani.
EeeenHeeeee!
Kwa hiyo wewe ulikuwa unanakili alichofanya yeye?

Hilo halikufanyi wewe uonekane kuwa bora zaidi yake.

Kutokana na hali hiyo, sikushangai wewe kuniona mimi kuwa sijui kusoma na kuelewa kama ulivyohoji.
 
Mbowe ni mwana tutamgea nusu mkate
"Nusu mkate" najua hapati, hata hiyo robo ataisikia kwa mbali sana. Anachoweza kuambulia ni hivyo vipande vipande (pieces) vitakavyokuwa vimemegeka toka kwenye mkate wenyewe.
 
Hongera kwa kulitambua Ili bado mapema mimi nilisema hapa toka 2016 watu wakawa wananitukana!!!
 
Atakayekuwa Rais ni vema akawa mtu wa upatanisho na mwenye uelewano kuanzia Ngazi ya familia tutakuwa tumefanya Makosa makubwa kuchagua Rais mwenye visirani chuki uhasama na visasi itakuwa shida tutalimia Meno.
Mandela alionesha mfano mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…