Ccm kama kawaida yao watakimbiaWakuu,
Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv.
Kupitia mdahalo huo unaona kabisa huyu anafaa huyu amejaa pumba, na wengine wapo kwaajili ya kujaza nafasi tu.
Hii itasaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi na kutodanganyika na doti za kanga au kofia za vyama.
Au nasema uongo chawa na nyuki wa mama?