Mtemi Eno
Member
- Jul 10, 2023
- 37
- 148
Makampuni mengi kwa sasa idara ya masoko hawabezi fact kwamba hizi timu zina wafuasi wengi kuzidi vyama vya siasa na huunganisha watu pamoja hata kwenye tofauti za kidini ama siasa.
Makampuni tunayaona kwa sasa yanataka ukaribu kwa namna yoyote na hizi timu, si ya hapa kwetu tu bali hata nje wamejua kwamba hizi timu zina impact kubwa kwenye soko la Tanzania.
Mambo yanazidi kuwa makubwa, timu zinapata pesa za endorsements, kufikia 2026/2027 si ajabu timu zikawa zinaingiza bilioni 10 pekee masuala ya endorsements na sponsorships pekee.
Kwa misuli hii ya pesa tutegemee 2026/27 wachezaji wakulipwa milioni 50 wataletwa hapa bongo.
Makampuni tunayaona kwa sasa yanataka ukaribu kwa namna yoyote na hizi timu, si ya hapa kwetu tu bali hata nje wamejua kwamba hizi timu zina impact kubwa kwenye soko la Tanzania.
Mambo yanazidi kuwa makubwa, timu zinapata pesa za endorsements, kufikia 2026/2027 si ajabu timu zikawa zinaingiza bilioni 10 pekee masuala ya endorsements na sponsorships pekee.
Kwa misuli hii ya pesa tutegemee 2026/27 wachezaji wakulipwa milioni 50 wataletwa hapa bongo.