2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".

Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.

Nawatakia mapumziko mema
 
Aise huyo kijana Hana makandokando ya wizi na rushwa na bashungwa pia naona ndani ya ccm ndiyo wenye rekodi nzuri ya utendaji na siyo wakurupukaji ! Mama kama anampango wa kuwakomoa wale vijana huenda akaingia na jina lake maana na element za jk mkimya mpole lakini asiyetabilika.
 
Yote heri, kwangu January Makamba ndie mwanadiplomasia anaefaa kuuvaa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taifa linahitaji mabadiliko ya kimkakati, hasa ule wa ushirikiano wenye tija baina ya mataifa sambamba na uwekezaji makini kutoka nje.
 
Hamna mkuu Mimi simpigii Debe kama Mimi muongo we eleza mabaya yake na huyo kijana wa mabarabara na vivuko ( bashungwa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…