2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

Huyo hafai hata kuwa waziri, achilia mbali urais!
Huyo kijana January makamba jina lake lina kelele hasa kule kwenye wizara ya nishati na report ya CAG ameacha majonzi makubwa wazee kwa vijana wanamwandama Sana hawataki kumsikia wizara ya nishati iliyumba hadi mama aliposema hapana nakupenda lakini hapa toka njoo huku! n.k kijana huyo wananchi hawataki kumsikia kabisa labda chawa wake Tu shida ndiyo hiyo!
Ukiachilia huyo na Yule mwenye PhD anayejidai anajuwa uchumi kauli zake watu kuhamia Burundi na mengine pia hawa wanaharufu mbaya kwa wananchi
 
Mama huyu 2030 Niko hapa anajina lake mfukoni ! Hawa vijana wanaamini NI chawa wao hatokuja kuamini uatakayowakuta hawajifunzi kwa mzee wangu lowasa ( R.I.P mzee wangu) alifanyiwa na mzee wa msoga kwa kuangalia hawa wazee swala linaloitwa kiongozi wa nchi hawana urafiki hayo ndiyo yatakayotokea hata kwa mama huyu atafyeka majina mengi jogoo litakapowika mjengoni wajumbe hawatoamini macho yao.
 
Nikikumbuka Zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali"

Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 20230 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu Sana

Nawatakia mapumziko mema
Mungu tu ndio anamjua Rais wa 2030
 
Back
Top Bottom