2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

Mwigulu na January hao wasahau kabisa kitu kinachoitwa uraisi walishajichafua kwa umma tayari ! Kale kajanjajanja Ka January kana amini huruma ya TISS ya jk ambayo bado inavimelea nyake ndani ya mfumo inaweza ikampa promo ya kupata uraisi lakini hajui top leaders wa sasa ndani ya TISS ilishavunja huo mtandao.
Una unachokijua Unajua Ridhiwani ni Boss wa TISS sio kwamba ni waziri wa utumishi wa Umma na Utawala bora
 
Back
Top Bottom