imma mkatoliki
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 218
- 159
CHADEMA Kafulila anawauma sanaKafulila ni msaka fursa ndili ikipita pembeni anawaka kama nyuki ikipita kwake ni mpole haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA Kafulila anawauma sanaKafulila ni msaka fursa ndili ikipita pembeni anawaka kama nyuki ikipita kwake ni mpole haswa
CHADEMA wao ndiyo walimfukuza, ana wauma vipi tena?CHADEMA Kafulila anawauma sana
Kafulila huwa mnamfuata fuata sanaCHADEMA wao ndiyo walimfukuza, ana wauma vipi tena?
Hakuna anayefuata matendo yake maovu ndiyo yanamfuataKafulila huwa mnamfuata fuata sana
Matendo gani mabaya ya huyo KafulilaHakuna anayefuata matendo yake maovu ndiyo yanamfuata
Amekutuma?Matendo gani mabaya ya huyo Kafulila
Nitahama nchiRelax kijana, CCM ni Ile Ile. JMAKAMBA For 2030.
Una unachokijua Unajua Ridhiwani ni Boss wa TISS sio kwamba ni waziri wa utumishi wa Umma na Utawala boraMwigulu na January hao wasahau kabisa kitu kinachoitwa uraisi walishajichafua kwa umma tayari ! Kale kajanjajanja Ka January kana amini huruma ya TISS ya jk ambayo bado inavimelea nyake ndani ya mfumo inaweza ikampa promo ya kupata uraisi lakini hajui top leaders wa sasa ndani ya TISS ilishavunja huo mtandao.
Ni sahihi kabisaUna unachokijua Unajua Ridhiwani ni Boss wa TISS sio kwamba ni waziri wa utumishi wa Umma na Utawala bora
Huyu jamaa anaona watu wote wajinga humuNi sahihi kabisa
Nani wewe mchinga na nani?Huyu jamaa anaona watu wote wajinga humu
Nani wewe mchinga na nani?Huyu jamaa anaona watu wote wajinga humu