2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

Hizi propaganda sijui jamaa anawalipa sh ngapi. Mmepanga kabisa kutoka kwenye ma group yenu huko kwamba mmoja aanzishe uzi alaf wengine waje chap ku comment. Nitashangaa sana kama state haijagundua mchezo anaoufanya Kafulila ili apate uteuzi
 
Hizi propaganda sijui jamaa anawalipa sh ngapi. Mmepanga kabisa kutoka kwenye ma group yenu huko kwamba mmoja aanzishe uzi alaf wengine waje chap ku comment. Nitashangaa sana kama state haijagundua mchezo anaoufanya Kafulila ili apate uteuzi
Jenga hoja acha kutuhumu watu,
Kwanini unamtaja Kafulila wakati mada imemtaja pia Bashungwa?
 
Jenga hoja acha kutuhumu watu,
Kwanini unamtaja Kafulila wakati mada imemtaja pia Bashungwa?
Saiz si mmeanza kumuweka na Bashungwa baada ya kuona mkiweka Kafulila peke yake hamna engagement. Nguvu mnayotumia kum promote Kafulila wala ahihitaji Degree kujua kwamba kuna ka kikundi kanalipwa humu Jf ili kamsifie Kafulila apate uteuzi.

Mbinu za kizamani sana. Badala dogo akomae na PPP ili mama amuone eti anatuma chawa
 
Saiz si mmeanza kumuweka na Bashungwa baada ya kuona mkiweka Kafulila peke yake hamna engagement. Nguvu mnayotumia kum promote Kafulila wala ahihitaji Degree kujua kwamba kuna ka kikundi kanalipwa humu Jf ili kamsifie Kafulila apate uteuzi.

Mbinu za kizamani sana. Badala dogo akomae na PPP ili mama amuone eti anatuma chawa
Duuh kwahiyo na Mimi nimeingia kwenye rekodi?
Ila Mimi sio mnafiki Kafulila ni asset kwa Taifa nenda tafakari hii kitu
 
Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".

Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.

Nawatakia mapumziko mema
Huo uwaziri unatosha……ni mtanzania ndio lakini immediate grand father wake ni Mnyarwanda …
 
Yote heri, kwangu January Makamba ndie mwanadiplomasia anaefaa kuuvaa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taifa linahitaji mabadiliko ya kimkakati, hasa ule wa ushirikiano wenye tija baina ya mataifa sambamba na uwekezaji makini kutoka nje.
Aisee kuna watu wasiojua kinachoendelea duniani mzee kam Huna chakupost siutulie boss au unatutega tulopoke ututeke
 
Back
Top Bottom