2025 asithubutu, sisi tunaongeza spidi ya kumtukana ili asiwaze wala kushawishika kugombea nafasi 2025 😎 . Asiwe na tamaa...imetosha alivyoikaimu hiyo nafasi tunamshukuru kwa kutumalizia muda wa mwamba. Japo katikati ya uongozi wake anajigeuza geuza CHURA, isije kweny kampeni akajigeuza TUMBILI ikawa full kurukia miti😀. Asigombee mwakani..kwa ustawi wa heshima yake, asithubutu kudanganywa na akina Engineer waganga matumbo kwa kumnunulia ndege kwa pesa za dhurma na uizi, au kwa maneno ya akina nape mwiguli and Co.Ltd