2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

Chapisho hili halikutoka kwa bahati mbaya .
Maneno hayo aliyatamka akimaanisha mambo ya urais wa 2025, tuyaache mpaka hiyo 2025 ifike, lakini hakumaanisha hana wazo hilo, ndio maana Mhariri Mkuu wa gazeti hilo aliwajibishwa kwa kuwekwa kando, lakini Mungu akaknyanyua na sasa ni bosi wa media zote!.

Baada ya hapo Rais Samia akasema kwa vile urais kwa Mwanamke ameupata just by defaults, 2025 tusimamishe Mwanamke, na Watanzania kwa mara ya kwanza katika historia ya uchaguzi Tanzania, tutachagua Rais Mwanamke.
P
 
🤣🤣watu hamko siriazi hivi kweli kafulila ndo awe presda 🤣🤣🤣Hata kama viongozi wameisha jamani tuone haya...akikaaa mbele ya watu na jinsi alivyo bora hata Makamba
 
Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".

Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.

Nawatakia mapumziko mema

"mama hatabiriki"! Hebu tafsiri kwa kizaramo nami nielewe kikwenu.​

Kwa kikwetu kiwanji ningesema " kama mama atabariki", uzi ungeeleweka lakini "hata" umeanzisha uzi wa nini wakati jambo halitawezekana!
 
Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".

Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.

Nawatakia mapumziko mema

Hao location wanayotoka, hawawezi kupata nafasi hizo, PROJECT YA KAGAME Bahima, Hamites Empire, Dola ya Kihima ipo, inaweza kutimia kupitia hao watu.

TUMBILI haaminiki pia, hao wataishia na vyeo vya kawaida huku tunawafuatilia kwa karibu.

Kwa maslahi ya nchi na usalama, BASHUNGWA na TUMBILI hakuna anayestahili kuwa RAIS.

Kuwapa hao ni KUMKABIDHI KAGAME rasmi TANZANIA.

Urais hata wa Program wetu una mashaka makubwa sana 🤔🤔🤔😎😎
 
Nchi apewe January hii

Sitaki makasiriko na comment yangu nna presha 😹😹😹
MAKAMBA January hamna kitu hapo, FISADI MKUBWA, BUMBULI IMEMSHINDA,kifupi anasifiwa eti ni bright intelligent, practical wise ni mweupe sana, ndo maana nishati ilimshinda..
Huyu na Mwigulu wanataka sana Urais,wasioangalia WATAUANA HAWA
 
Mwigulu na January hao wasahau kabisa kitu kinachoitwa uraisi walishajichafua kwa umma tayari ! Kale kajanjajanja Ka January kana amini huruma ya TISS ya jk ambayo bado inavimelea nyake ndani ya mfumo inaweza ikampa promo ya kupata uraisi lakini hajui top leaders wa sasa ndani ya TISS ilishavunja huo mtandao.
 
Hizi kampeni za mitandaoni sidhani kama zinamsaidia Kafulila, angejikita kwanza kutafuta support ya wana CCM.

Kwa historia yake sidhani kama anaweza kutoboa kura za wajumbe hata ngazi ya ubunge tu.
 
Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".

Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.

Nawatakia mapumziko mema
Umewataja vibwengo watupu hamna kitu hapo
 
Back
Top Bottom