CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kwa ccm hii ujue wewe ndiyo kama hao vijana umewasomea hukumu ya kifo.Anatakiwa yeye na bashungwa waishi kwa uangalifu mkubwa maana nchi hii tumefikia pabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ccm hii ujue wewe ndiyo kama hao vijana umewasomea hukumu ya kifo.Anatakiwa yeye na bashungwa waishi kwa uangalifu mkubwa maana nchi hii tumefikia pabaya
Wewe acha izo mimi natype ,nitakuepo mpaka nikamilishe kusudio la Mungu kuniita dunianHuo mwaka 20230 si kafulila,BASHUNGWA Wala sisi tunaotype hapa tutakuwepo duniani.
Maneno hayo aliyatamka akimaanisha mambo ya urais wa 2025, tuyaache mpaka hiyo 2025 ifike, lakini hakumaanisha hana wazo hilo, ndio maana Mhariri Mkuu wa gazeti hilo aliwajibishwa kwa kuwekwa kando, lakini Mungu akaknyanyua na sasa ni bosi wa media zote!.Chapisho hili halikutoka kwa bahati mbaya .
Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".
Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.
Nawatakia mapumziko mema
Watu wanatafuta Uadilifu wake sio sura🤣🤣watu hamko siriazi hivi kweli kafulila ndo awe presda 🤣🤣🤣Hata kama viongozi wameisha jamani tuone haya...akikaaa mbele ya watu na jinsi alivyo bora hata Makamba
Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".
Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.
Nawatakia mapumziko mema
MAKAMBA January hamna kitu hapo, FISADI MKUBWA, BUMBULI IMEMSHINDA,kifupi anasifiwa eti ni bright intelligent, practical wise ni mweupe sana, ndo maana nishati ilimshinda..Nchi apewe January hii
Sitaki makasiriko na comment yangu nna presha 😹😹😹
Uzalendo wa kumuangalia usoni?Kafulila kweli ni mzalendo nimemuona Simiyu,Songwe na Leo PPP
Tuna mashaka makubwa naeKafulila ni kijana Mzalendo hakuna mwenye mashaka nae kabisa
Rushwa sasa!!Yote heri, kwangu January Makamba ndie mwanadiplomasia anaefaa kuuvaa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taifa linahitaji mabadiliko ya kimkakati, hasa ule wa ushirikiano wenye tija baina ya mataifa sambamba na uwekezaji makini kutoka nje.
Yeah Muda utasema lo
Yeah Muda utasema lo
Umewataja vibwengo watupu hamna kitu hapoNikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".
Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.
Nawatakia mapumziko mema