21/01/2023 CHADEMA walifanya uzinduzi wa mikutano, baada ya hapo ratiba ya mikutano itafuata

21/01/2023 CHADEMA walifanya uzinduzi wa mikutano, baada ya hapo ratiba ya mikutano itafuata

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Wengi wanadhani Chadema walianza rasmi mikutano yao hapana, baada ya uzinduzi huo kitakachofuata ni ratiba rasmi ya mikutano na ndiyo itakayotoa huenda yote wanayoyatarajia watanzania kulingana na itakavyofanyika.

Kuna watu wanaodhani kwenye uzinduzi utaongelea matatizo yote ya nchi, hapana. Mambo muhimu yataongelewa kwenye mikutano itakayofanyika kila mkoa hivyo tusubiri mikutano yao ianze baada ya mhe. Lissu kuwasiri.
 
Wengi wanadhani Chadema walianza rasmi mikutano yao hapana, baada ya uzinduzi huo kitakachofuata ni ratiba rasmi ya mikutano na ndiyo itakayotoa huenda yote wanayoyatarajia watanzania kulingana na itakavyofanyika. Kuna watu wanaodhani kwenye uzinduzi utaongelea matatizo yote ya nchi, hapana. Mambo muhimu yataongelewa kwenye mikutano itakayofanyika kila mkoa hivyo tusubiri mikutano yao ianze baada ya mhe. Lissu kuwasiri.
Hakuna kitu li chama lenu lilishapotea njia, usijifariji
 
Tanzania ilishajifia, tunasubiri maziko... nashangaa watu wanaoweka matumaini Yao kwenye vyama vya upinzani. Wewe chuma vya kwako sepa, hakuna cha kufia kwenye nchi hii Wala watu hawa..
 
Sio kwa Chadema hii hapana chini ya Mbowe huyu hapana, someone has had a deal and the scope of political activities and how to articulate and the issues to say, the prime areas and the target characters. Let's wait
 
They didn't set any meaningful agenda zaidi ya Mbowe kujitetea kuwa hajalamba asali (which I doubt very much). Labda ngoja arudi Lissu, he and katibu mkuu are the only brains left.
 
Mbona kama Kuna tukio unalipooza Kama vile matarajio hayakufikiwa?
 
Mwenyekiti asipewe tena nafasi ya kuongea, naona anaanza vitisho vya kuwa katumia fedha zake nyingi. Lakini hasemi amechuma mabilioni mangapi akiwa CDM. Afahamu CDM sio shamba lake.
Naona umeanza kuzinduka.
 
Wengi wanadhani Chadema walianza rasmi mikutano yao hapana, baada ya uzinduzi huo kitakachofuata ni ratiba rasmi ya mikutano na ndiyo itakayotoa huenda yote wanayoyatarajia watanzania kulingana na itakavyofanyika. Kuna watu wanaodhani kwenye uzinduzi utaongelea matatizo yote ya nchi, hapana. Mambo muhimu yataongelewa kwenye mikutano itakayofanyika kila mkoa hivyo tusubiri mikutano yao ianze baada ya mhe. Lissu kuwasiri.
Kila uzinduzi unakuwa na main theme ambayo kupitia kwayo subthemes zinaendelea. Mkutano wa jana main theme ulikuwa ni kumuimbia mama mapambio na kiwakaripia wote wanaomsema vibaya mama na mbowe. Tutarajie mikutano italalia kwenue hiyo agenda
 
CCM wamefurahishwa sana na hotuba ya Mbowe wanasema ni mwanzo mzuri wa mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa.
 
Hakuna haja ya kupoteza muda kuhudhuria mikutano ya Chadema kwakua jana mwenyekiti wao kasema wazi hana muda wa kumkosoa Rais.

Sasa badala ya kulipa nauli kwenda kusikia sifa za ccm toka CHADEMA.

Bora kukaa na kusubiri tu mikutano ya ccm.
 
Back
Top Bottom