Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Nashukuru kamanda mwenzangu kuzindukaPunguza utoto dogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru kamanda mwenzangu kuzindukaPunguza utoto dogo.
Kwahiyo ratiba ya Mkutano wa Chadema jijini Mwanza itakuwa lini?Wengi wanadhani Chadema walianza rasmi mikutano yao hapana, baada ya uzinduzi huo kitakachofuata ni ratiba rasmi ya mikutano na ndiyo itakayotoa huenda yote wanayoyatarajia watanzania kulingana na itakavyofanyika. Kuna watu wanaodhani kwenye uzinduzi utaongelea matatizo yote ya nchi, hapana. Mambo muhimu yataongelewa kwenye mikutano itakayofanyika kila mkoa hivyo tusubiri mikutano yao ianze baada ya mhe. Lissu kuwasiri.
Utapangwa baadae, kwenye uzinduzi Chadema wsngeweza kumkaribisha mtu yeyote hata chifu Hangaya kuwazindulia na baada ya hapo anaondoka.Kwahiyo ratiba ya Mkutano wa Chadema jijini Mwanza itakuwa lini?
Uzinduzi unaweza ukawa na shukurani kwa waliowezesha jambo kufanyika.Kila uzinduzi unakuwa na main theme ambayo kupitia kwayo subthemes zinaendelea. Mkutano wa jana main theme ulikuwa ni kumuimbia mama mapambio na kiwakaripia wote wanaomsema vibaya mama na mbowe. Tutarajie mikutano italalia kwenue hiyo agenda
Hebu wewe kanyangarakasha tueleze ulichochangia kwenye siasa za Tanzania zaidi ya kubwabwaja na domo lako.Hakuna kitu li chama lenu lilishapotea njia, usijifariji
Siku ya Mkutano wa Hadhara Jijini Mwanza unitag. Kutoka Kijijini Rubambangwe, Chato kuja Mwanza sio mbali. Nitakuja kama nilivyokuja jana.Utapangwa baadae, kwenye uzinduzi Chadema wsngeweza kumkaribisha mtu yeyote hata chifu Hangaya kuwazindulia na baada ya hapo anaondoka.
Ungekuwa ni mtunza kumbukumbu ungelijua hilo kwani limewahi kufanyika.S
Siku ya Mkutano wa Hadhara Jijini Mwanza unitag. Kutoka Kijijini Rubambangwe, Chato kuja Mwanza sio mbali. Nitakuja kama nilivyokuja jana.
Nategemea Sana uwe mjuvi wa siasa.Mwenyekiti asipewe tena nafasi ya kuongea, naona anaanza vitisho vya kuwa katumia fedha zake nyingi. Lakini hasemi amechuma mabilioni mangapi akiwa CDM. Afahamu CDM sio shamba lake.
Tindo una shida kidogo na mwenyekiti naona! Kuna mahali kakukwaza pakubwa!? Nadhani nobody is perfect!Mwenyekiti asipewe tena nafasi ya kuongea, naona anaanza vitisho vya kuwa katumia fedha zake nyingi. Lakini hasemi amechuma mabilioni mangapi akiwa CDM. Afahamu CDM sio shamba lake.
Siwezi kusikiliza ngonjera za upinzani uchwara mie. Bora nibaki na CCM.Hebu wewe kanyangarakasha tueleze ulichochangia kwenye siasa za Tanzania zaidi ya kubwabwaja na domo lako.
Acha ujingaSiwezi kusikiliza ngonjera za upinzani uchwara mie. Bora nibaki na CCM.
Mtu anayeukumbatia ujinga ni mjinga na anaona sifa kuwa mjinga, kumbuka kuna wanafunzi hujisifu kwa kutoroka vipindi.Acha ujinga
Umaskini wako haukuletwa na chadema ewe takatakaAmna kitu hapo asali tam sitegemei kusikia tena hoja zenye mashiko upinzani umekua wa hovyo sikuizi
Misukukule ya mwendazake bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtu anayeukumbatia ujinga ni mjinga na anaona sifa kuwa mjinga, kumbuka kuna wanafunzi hujisifu kwa kutoroka vipindi.
Na wee unaamini chadema ndio watakupa utajiri ?kichwa chako kitakua kina nziUmaskini wako haukuletwa na chadema ewe takataka
Ahahahahah!Ungekuwa ni mtunza kumbukumbu ungelijua hilo kwani limewahi kufanyika.