fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
kwa wale wazee wanaofuatilia miziki ya hip hop especially trap music nani mkali kati ya hao wawili maana tunabishana sana kitaa
upande wangu naona 21 anajua sana kutokana na ngoma zake mfano alomshirikisha future na zngnezo karibu mdau utoe maoni yako
[HASHTAG]#yungtemper[/HASHTAG]
upande wangu naona 21 anajua sana kutokana na ngoma zake mfano alomshirikisha future na zngnezo karibu mdau utoe maoni yako
[HASHTAG]#yungtemper[/HASHTAG]