24Hrs Season 4:Nimeshindwa kuielewa baadhi ya episode msaada tafadhari..


Umeelezea vizuri sana.
 
Unanikumbusha season yangu ya mwisho kuifatilia Lost...niliacha pale kisiwa kilipopoteaga...halafu kuna movie nyingine director anatakiwa awe anapimwa mkojo kila scene...mfano Dead of Thieves...mbwembwe nyingi action ya moja tu tena ni risasi zinalia weweee...
 
Da'Vinci kusema kweli 24 niliziangalia nazani 2012 au 2014 nilishazisahau!!... ngoja nirudie kuicheki hiyo episode nitarudi!..
Lakin Habib Maruan ndio aliyekuwa anawapa tabu zaidi naona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…