254 kinazidi kuumana, Uhuru aandaa RATO la kumchapia RUTO....akihepa na hilo amshukuru Mungu.

254 kinazidi kuumana, Uhuru aandaa RATO la kumchapia RUTO....akihepa na hilo amshukuru Mungu.

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Ni visa juu ya visa kama ungependa kutumia maneno kama hayo, au wengine husema "kaa n mbwai ni mbwai" kwa lafudhi ya kisambaa.
 
Ni visa juu ya visa kama ungependa kutumia maneno kama hayo, au wengine husema "kaa n mbwai ni mbwai" kwa lafudhi ya kisambaa.


"Wa kwanza kufanyiwa life style audit ni mimi halafu huyu ndipo twende kwa gavana, Macharia na wengine."

"Si ni namna hiyo?"

😂😂😂😂!
 
"Wa kwanza kufanyiwa life style audit ni mimi halafu huyu ndipo twende kwa gavana, Macharia na wengine."

"Si ni namna hiyo?"

😂😂😂😂!
Hapo kwenye "Huyu" sasa.

Nadhani wakishamalizana na "huyu" na zoezi litaishia hapo.
 
Lile faili kule The Hague halijaingia vumbi bado
Hague kisa nini? Hivi mmeshamaliza ile kesi yenu ya ugaidi dhidi ya yule kiongozi wa upinzani? Alafu yule mwingine aliyetoroka chini ya ulinzi mkali wa mabeberu alisharejea nchini?
 
And finally Ruto is going to win against Uhuru and 2020 election.
In Africa Rais anayeondoka ndio anachagua nani amwachie kijiti hata ufanye nini ndio ipo hivyo.huyo Ruto anajiona mjanja huku umaarufu wake umetokana na Odinga na Uhuru aliyekupandisha anaweza kukushusha pia.
 
Ni visa juu ya visa kama ungependa kutumia maneno kama hayo, au wengine husema "kaa n mbwai ni mbwai" kwa lafudhi ya kisambaa.

Hii Clip ya zamani sana,hiyo life style audit haikufanyika kabisa,walikuja na BBI,wakachemka,juzi wamembadilishia walinzi Kwake,wamechemka,sasa hv wanataka ajiuzuru,amegoma,kwa ufupi,Ruto yupo mpaka august 2022 ndio kitaeleweka
 
Hii Clip ya zamani sana,hiyo life style audit haikufanyika kabisa,walikuja na BBI,wakachemka,juzi wamembadilishia walinzi Kwake,wamechemka,sasa hv wanataka ajiuzuru,amegoma,kwa ufupi,Ruto yupo mpaka august 2022 ndio kitaeleweka
BBI hawakuibuka nayo kisa DP Ruto, ilianza baada ya ile 'handshake' ya rais UK na Raila Odinga. Ruto mwenyewe alikuwa ndani ya mchakato huo, hapo mwanzoni, kabla hajaanza malumbano yake na rais.

BBI ilikuwa ya manufaa mengi kwa nchi ya Kenya, kwa asilimia kubwa sana. Ila Uhuru na mwenzake RAO walichemsha walipoendesha shughuli za mchakato wenyewe kiubabe. Bila kuzingatia kanuni na sheria, zinazohusu vuguvugu za sampuli hiyo kikatiba.

Mimi mwenyewe simuungi mkono DP Ruto, siasa wala sera zake. Ila nipo upande wake linapokuja suala la 'hujuma' dhidi yake kutoka kwa 'collabo' ya Raila na Uhuru na serikali yake.

Zaidi ya yote alinipendeza sana alivyobadilisha gumzo za kisiasa nchini Kenya. Kutoka kwa masuala ya ovyo, hadi kwenye masuala yenye tija. Kisa sera yake ya kiuchumi, almaarufu kama 'Bottom-Up approach'.

Kumbuka kwamba William Samoei Kipchirchir Arap Ruto sio makamu wa rais, bali ni naibu rais. 'Mandate' yake kama naibu rais tulimpa sisi wakenya, kupitia kura tulizompigia yeye. Hakupewa cheo hicho na rais Uhuru Kenyatta, yupo hapo kwa nguvu ya katiba. Ndio maana hawawezi wakampiga kalamu.

'Akae ngumu', kama wakenya wanavopenda kusema, na asitishike na kelele za rais, RAO na wapambe wao. Bado ana nafasi nyeti sana kwenye siasa za Kenya na sio tu kwenye nafasi ya urais.
 
BBI hawakuibuka nayo kisa DP Ruto, ilianza baada ya ile 'handshake' ya rais UK na Raila Odinga. Ruto mwenyewe alikuwa ndani ya mchakato huo, hapo mwanzoni, kabla hajaanza malumbano yake na rais.

BBI ilikuwa ya manufaa mengi kwa nchi ya Kenya, kwa asilimia kubwa sana. Ila Uhuru na mwenzake RAO walichemsha walipoendesha shughuli za mchakato wenyewe kiubabe. Bila kuzingatia kanuni na sheria, zinazohusu vuguvugu za sampuli hiyo kikatiba.

Mimi mwenyewe simuungi mkono DP Ruto, siasa wala sera zake. Ila nipo upande wake linapokuja suala la 'hujuma' dhidi yake kutoka kwa 'collabo' ya Raila na Uhuru na serikali yake.

Zaidi ya yote alinipendeza sana alivyobadilisha gumzo za kisiasa nchini Kenya. Kutoka kwa masuala ya ovyo, hadi kwenye masuala yenye tija. Kisa sera yake ya kiuchumi, almaarufu kama 'Bottom-Up approach'.

Kumbuka kwamba William Samoei Kipchirchir Arap Ruto sio makamu wa rais, bali ni naibu rais. 'Mandate' yake kama naibu rais tulimpa sisi wakenya, kupitia kura tulizompigia yeye. Hakupewa cheo hicho na rais Uhuru Kenyatta, yupo hapo kwa nguvu ya katiba. Ndio maana hawawezi wakampiga kalamu.

'Akae ngumu', kama wakenya wanavopenda kusema, na asitishike na kelele za rais, RAO na wapambe wao. Bado ana nafasi nyeti sana kwenye siasa za Kenya na sio tu kwenye nafasi ya urais.
Kwa iyo utachagua ruto au odinga
 
BBI hawakuibuka nayo kisa DP Ruto, ilianza baada ya ile 'handshake' ya rais UK na Raila Odinga. Ruto mwenyewe alikuwa ndani ya mchakato huo, hapo mwanzoni, kabla hajaanza malumbano yake na rais.

BBI ilikuwa ya manufaa mengi kwa nchi ya Kenya, kwa asilimia kubwa sana. Ila Uhuru na mwenzake RAO walichemsha walipoendesha shughuli za mchakato wenyewe kiubabe. Bila kuzingatia kanuni na sheria, zinazohusu vuguvugu za sampuli hiyo kikatiba.

Mimi mwenyewe simuungi mkono DP Ruto, siasa wala sera zake. Ila nipo upande wake linapokuja suala la 'hujuma' dhidi yake kutoka kwa 'collabo' ya Raila na Uhuru na serikali yake.

Zaidi ya yote alinipendeza sana alivyobadilisha gumzo za kisiasa nchini Kenya. Kutoka kwa masuala ya ovyo, hadi kwenye masuala yenye tija. Kisa sera yake ya kiuchumi, almaarufu kama 'Bottom-Up approach'.

Kumbuka kwamba William Samoei Kipchirchir Arap Ruto sio makamu wa rais, bali ni naibu rais. 'Mandate' yake kama naibu rais tulimpa sisi wakenya, kupitia kura tulizompigia yeye. Hakupewa cheo hicho na rais Uhuru Kenyatta, yupo hapo kwa nguvu ya katiba. Ndio maana hawawezi wakampiga kalamu.

'Akae ngumu', kama wakenya wanavopenda kusema, na asitishike na kelele za rais, RAO na wapambe wao. Bado ana nafasi nyeti sana kwenye siasa za Kenya na sio tu kwenye nafasi ya urais.
Yote Sawa tu,
Ila handshake ilifanyika kwa kificho,Ruto hakuwa anajua kinachoendelea,
Sasa hv upinzani,ODM na wenzie wapo na Uhuru kuhakikisha Ruto haingii Ikulu 2022!
Jamaa Mimi namkubali sana,unaandamwa na Raisi wa nchi na vyombo vyake vyote vya usalama lakini upo tu!!
Watu kama Aden duale,Murkomen,Wale wote ambao ni pro Ruto,Tangatanga gang,huwa na admire sana misimamo yao,Richa ya kusumbuliwa na "deepstate"
Namuombea The Hustler aingie Ikulu,atuondolee "dynasty ya kina Uhuru na Odinga,tunataka an "outsider"aje Ikulu,kama ilivyotokea Zambia.
Keep it up,Chief chicken seller!
 
Hiyo ni video ya 3Years ago, BTW yeye binafsi hakuthubutu kuruhusu kufanyiwa Lifestyle audit.

 
Kwa iyo utachagua ruto au odinga
Neither, kuna wagombea urais wengine ambao wamejitokeza na wananivutia zaidi. Kisera, kimaarifa, kiuchapa kazi na mengine mengi zaidi. Kunaye Mukhisa Kituyi, ambaye alijiuzulu kama katibu mkuu wa UNCTAD, ili awanie kiti cha urais. Kuna gavana Kivutha Kibwana wa gatuzi la Makueni, ambaye 'track record' yake ipo juu sana.

Kampeni hazijaanza rasmi, nawangoja waje wajieleze, ili nisikize mipango yao kwa taifa letu tukufu la Kenya. Sina muda wa kupoteza kwa hao wauza sura wengine na kelele zao.
 
Ruto is not the right person to lead Kenya.... Let us make Odinga the president
 
In Africa Rais anayeondoka ndio anachagua nani amwachie kijiti hata ufanye nini ndio ipo hivyo.huyo Ruto anajiona mjanja huku umaarufu wake umetokana na Odinga na Uhuru aliyekupandisha anaweza kukushusha pia.
Nikweli uyasemayo but Do Ruto yupo ver
 
Back
Top Bottom