254 kinazidi kuumana, Uhuru aandaa RATO la kumchapia RUTO....akihepa na hilo amshukuru Mungu.

254 kinazidi kuumana, Uhuru aandaa RATO la kumchapia RUTO....akihepa na hilo amshukuru Mungu.

Ruto anapendeka na makabila yote Kenya bila kujilazimisha✊Ruto Mpaka ikulu2022🔥🔥🔥🔥🔥
 
Wapambane kwa hoja, na siyo mpaka damu za raia kumwagika, hapo tutaona Kenya imekuwa ki demokrasia..
 
In Africa Rais anayeondoka ndio anachagua nani amwachie kijiti hata ufanye nini ndio ipo hivyo.huyo Ruto anajiona mjanja huku umaarufu wake umetokana na Odinga na Uhuru aliyekupandisha anaweza kukushusha pia.
Hah hahahh nakubaliana nawe mkuu💯
 
Yote Sawa tu,
Ila handshake ilifanyika kwa kificho,Ruto hakuwa anajua kinachoendelea,
Sasa hv upinzani,ODM na wenzie wapo na Uhuru kuhakikisha Ruto haingii Ikulu 2022!
Jamaa Mimi namkubali sana,unaandamwa na Raisi wa nchi na vyombo vyake vyote vya usalama lakini upo tu!!
Watu kama Aden duale,Murkomen,Wale wote ambao ni pro Ruto,Tangatanga gang,huwa na admire sana misimamo yao,Richa ya kusumbuliwa na "deepstate"
Namuombea The Hustler aingie Ikulu,atuondolee "dynasty ya kina Uhuru na Odinga,tunataka an "outsider"aje Ikulu,kama ilivyotokea Zambia.
Keep it up,Chief chicken seller!
Kwa hiyo Ruto sio Dynasty?
 
Back
Top Bottom