254 kinazidi kuumana, Uhuru aandaa RATO la kumchapia RUTO....akihepa na hilo amshukuru Mungu.

Ruto anapendeka na makabila yote Kenya bila kujilazimisha✊Ruto Mpaka ikulu2022🔥🔥🔥🔥🔥
 
Wapambane kwa hoja, na siyo mpaka damu za raia kumwagika, hapo tutaona Kenya imekuwa ki demokrasia..
 
In Africa Rais anayeondoka ndio anachagua nani amwachie kijiti hata ufanye nini ndio ipo hivyo.huyo Ruto anajiona mjanja huku umaarufu wake umetokana na Odinga na Uhuru aliyekupandisha anaweza kukushusha pia.
Hah hahahh nakubaliana nawe mkuu💯
 
Kwa hiyo Ruto sio Dynasty?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…