27 June 2015: Yanga SC vs SC Villa [Mechi ya kimataifa ya kirafiki]

27 June 2015: Yanga SC vs SC Villa [Mechi ya kimataifa ya kirafiki]

alaal itakuwa nilichelewa kuwasha,maana nimeoma moja kwa moja wanaingia kisha nikasikia kwamba walichelewa kufika kwakuwa nauli ilikuwa issue.Ila hiyo umeyoweka 11.47 mbona hapo tata

si unaona sasa, kumbe na wewe ndo walewaleee, unakurupuka kupost kitu usichokijua.
 
Aisee Mie Shabiki wa AZAM dam.
Lakini ngozi inayopigwa na yanga kwa hizi dakika ni balaa.
Pengo la Ngasa bado lipo wanayanga,fanyehi mnavyoweza mchukueni Singano

we hujamuona Godfrey Mwashuya?. mbona pengo limezibwa kwa mawe kabisa.
 
Huku Kaseke, kule Mwashiuya; wote Wanyakyusa, hongereeni sana watani zangu kwa kujiunga na timu ya wananchi.
Aiseee! huku niliko mimi kila kundi unaloenda wanazungumziwa hawa wanyakyusa yaani ni balaaaaa......
Huku Mwashiuya huku Kaseke, mmmh kuna mtu atakuwa analichungulia benchi manake kwa huu muziki wa hao watoto si mchezo.
 
Back
Top Bottom