27 June 2015: Yanga SC vs SC Villa [Mechi ya kimataifa ya kirafiki]

27 June 2015: Yanga SC vs SC Villa [Mechi ya kimataifa ya kirafiki]

Alo kk hivi hiyo live streaming VIP ulaji wake wa mb ukiangalia

Mkuu huku nilipo internet sio ya mawazo...

Unalipia unlimited kwa mwezi na unapata speed ya kustream hata mechi kumi kwa wakati mmoja...

Kwa TZ ukitaka kustream uwe unajiunga na vifurushi vile vya unlimited...
 
Mkuu huku nilipo internet sio ya mawazo...

Unalipia unlimited kwa mwezi na unapata speed ya kustream hata mechi kumi kwa wakati mmoja...

Kwa TZ ukitaka kustream uwe unajiunga na vifurushi vile vya unlimited...

Ulikokughu nkamu?....
 
Hiyo ndiyo timu ya kulinganisha na timu ya kimataifa? Ikiwa mikia fc ni wa mchangani, wanalizombe ni wa wapi?

Mataifa ya Wapi mbona mnaishia mtoano tu??

Timu yenu imetoa nusu ya wachezaji wa timu ya Taifa,ila bado hiyo timu daily inapigwa!!
 
Mataifa ya Wapi mbona mnaishia mtoano tu??

Timu yenu imetoa nusu ya wachezaji wa timu ya Taifa,ila bado hiyo timu daily inapigwa!!

Mbona ninyi hata mtoano hamjawahi kufikia? Ninyi ni wa kupanda na kushuka daraja tu, ndiyo mafanikio yenu hayo.

Timu ya Taifa ina wachezaji 26, sina uhakika kwamba 13 wanatoka Yanga. Matatizo ya timu ya Taifa ni mengi, haitarajiwi kufanya vizuri katika mazingira kama hayo.

Aidha, timu ya Taifa inapocheza, wachezaji wa Yanga hawazidi 3 hivyo kufungwa kwa timu ya Taifa hakuondoi ukweli kuwa Yanga ni ya Kimataifa.
 
Aisee Mie Shabiki wa AZAM dam.
Lakini ngozi inayopigwa na yanga kwa hizi dakika ni balaa.
Pengo la Ngasa bado lipo wanayanga,fanyehi mnavyoweza mchukueni Singano

Hivi kumbe na ww ni shabiki wa yanga.??daaaaa haya bwana.!!
 
Kwa sasa nipo Taifa ili nione mechi ya kimataifa kati ya Yanga vs sc villa ya Uganda, mpaka sasa timu ya villa haijawarm up na haijulijani kama kuna mechi leo. Villa wanataka wapewe kiasi cha dolla 10000 cash kabla ya kuanza mchezo kama contract inavyoeleza. Yanga pamoja na muuandaaji kwanza promotion hawana

mleta mada kweli kichwa nazi yanga anahusikaje hapa yeye mualikwa kama vila
 
Huyu Godfrey Mwashiuya wa Yanga anaonekana mzuri sana...

Anajua kujiweka sehemu sahihi wakati sahihi...

ni kweli kabisa, waliosema mrithi wa Ngasa kapatikana hawakukosea. leo ndo mchezaji bora wa mechi hii akifuatiwa na kipa wa vila.
 
Halo wadau wa JF mliofanikiwa kuiona mechi ya Yanga na Villa ya Uganda tunaomba mtupe matokeo na mhtasari wa mechi yenyewe.natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom