Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alaal itakuwa nilichelewa kuwasha,maana nimeoma moja kwa moja wanaingia kisha nikasikia kwamba walichelewa kufika kwakuwa nauli ilikuwa issue.Ila hiyo umeyoweka 11.47 mbona hapo tatahapana wamefanya warmimg up. wameingia uwanjani saa 11.47 kwa warming up halafu wakarudi vyumbani.
alaal itakuwa nilichelewa kuwasha,maana nimeoma moja kwa moja wanaingia kisha nikasikia kwamba walichelewa kufika kwakuwa nauli ilikuwa issue.Ila hiyo umeyoweka 11.47 mbona hapo tata
Vikosi hasa cha yanga
Mechi nzuriii,safiii.
Wenye AZAM kweli raha raha.
Yanga wapo kwenye Ubora wao
Jambo la kushangaza mchezaji aliyekuwa akifanya majaribio Yanga...
Kamara leo anachezea SC Villa na sababu ni Yanga kutoridhishwa na kiwango chake...
Sasa hatma yake Yanga sijui ipo vipi...
Nipo wangu ntaenda wapi miye.......uko poa lakini?
Kikosi cha Yanga dhidi ya SC Villa.
1. Ally Mustapha Mtinge "Bartez"
2. Juma Abdul Mnyamani
3. Oscar Fanuel Joshua
4. Nadir Ally Haroub "Cannavaro" 5. Kelvin Patrick Yondani "Cotton"
6. Mbuyu Twite
7. Deus Kaseke
8. Salum Telela "Abo Telela"
9. Malimi Busungu
10. Amis Jocelyn Tambwe 11. Geofrey Mashiuya
nipo nimeboreka tu