Yaani from hero mpaka kuwa kama Bia yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kweli ni lazima kuitoa Ccm madarakani mwaka huu. Imefanya watu kuwa wapumbavu kwa kweli
Bwana mdogo, acha blaa blaa!View attachment 1609176
Watanzania wangapi waliipinga serikali ya Magufuli kuhusu tamko hili?
Umepotea sana MayallaWanabodi,
Uchaguzi ni wakati mzuri wa kufanya tafakari mbalimbali, saa hizi niko mji kasoro, kwenye kiwanja kipya kinaitwa Star Park, mimi kama kawaida yangu, ni mimi na Joni Mtembezi, kiwanja hiki, Night Shift wanaingia mapema! Hivyo kwa wale wenzangu na mimi ambao macho hayalali njaa, kiwanja hiki wanashiba mapema!..
We unaona ni jambo la kawaida mtu kubadili akili namna hii kiasi cha kukidhalilisha hivi??Huoni kama wewe ndio mpumbavu?
Yani mtu kutoa naoni yaliyo tofauti na wewe imekuwa upumbavu?
Hivi huyo Lisu kawapora akili kabisa?
Kabadili akili kivipi?We unaona ni jambo la kawaida mtu kubadili akili namna hii kiasi cha kukidhalilisha hivi??
Kuna kushabikia kwa logic na kushabikia bila logic!! Kama unashabikia bila Logic lazima upewe makavu liveKabadili akili kivipi?
Mtu kushabikia upande anaotaka ni kujidhalilisha?
Bwana mdogo, acha blaa blaa!
Sisi watz hatuwezi kuwachagua nyie wazee wa faragha!
Mambo hayo mwambieni Amsterdam awaoneshe nchi ya kwenda mtayakuta na mtayafurahia. Siyo tz
Kwako wewe ili uwe na logic lazima umshabikie Lisu na chadema.Kuna kushabikia kwa logic na kushabikia bila logic!! Kama unashabikia bila Logic lazima upewe makavu live
Sawa poti.Wanabodi,
Uchaguzi ni wakati mzuri wa kufanya tafakari mbalimbali, saa hizi niko mji kasoro, kwenye kiwanja kipya kinaitwa Star Park, mimi kama kawaida yangu, ni mimi na Joni Mtembezi, kiwanja hiki, Night Shift wanaingia mapema! Hivyo kwa wale wenzangu na mimi ambao macho hayalali njaa, kiwanja hiki wanashiba mapema!...
Kuna swali lipi sasa hapo?Jibu swali uliloulizwa, acha kukimbia swali??
Yaani bora wangejifunza uchawi kabisaaaaaNikiwaangalia Bashiru, Paschal Mayalla, Polepole, Kabudi, Kitila n.k naona elimu yetu haina maana yoyote ni kupoteza fedha na rasilimali bure.
Tanga ndiyo kabisa hawataki kumsikia sehemu ambayo ilikuwa shamba la bibi la CCM kujiokotea kura.Nimetembrlea kanda zite nchini ninegundua vijana kwa wazee wahitaji mabadiliko.
Nimeshangaa hata Dodoma John hatakiwi tena
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Uchaguzi ni huru na wa haki tangu 1995 Ukweli ni huu. Ikulu mtaishia kuiona kwenye TV. Chagua Magufuli, chagua ccm."Kama uchaguzi ukiwa wa Uhuru na Haki CCM ijiandae kukabidhi Ikulu".
H polepole.
HAKI.