Uchaguzi 2020 28 Oktoba vita ya ama zao, ama zangu; kiama chao, ama changu; chama chao, ama changu. Amiri Jeshi Mkuu katangaza vita, watoto wa mama wanachonga sana!

Vita hainaga macho, sheria wala kanuni, ukiamua kuingia vitani ni kushambulia adui na kuteketeza kabisa!.

Usikilize tena Ama Zao Ama Zangu.
P
 
Yaani from hero mpaka kuwa kama Bia yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kweli ni lazima kuitoa CCM madarakani mwaka huu. Imefanya watu kuwa wapumbavu kwa kweli
Kamanda sikusomi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mlamba viatu bila aibu aiseee
 
Mag3
Endeleni kupiga mayowe humu. Huku field sisi tunamalizia kazi ili tarehe 28 wazee wa faraga muambulie 20%
Nadhani mtandaoni atarudi baada ya muda !Baada ya kushudia watanzania walivyoamua kuilinda nchi yao bila kupepesa macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…